Uchaguzi 2020 Lissu tumia nafasi hii, Ikulu mapema sana

Wakati Lowasa anagombea Chadema mlisema maneno kama haya lakini mwisho wa siku mlikimbia thread zenu.
Huyu wasasa chadema nawapinzani wametuletea kichwa yule walikuwa wanafanya kazi mbili kumsafisha nadodoki nakumnadi nadhani unajuwa dodoki haliondoi madowa huyu kwanza anjinadi mwenyewe natunamuelewa sana tu hili naomba liwe jibu kwa wote wanafananisha uchaguzi huu naule waelewe hilo
 
Wazo zuri Sana Lissu alitumie madna CCM kwenyewe ndani hawataki hata kumsikia , ila hawaonyeshi waziwazi , Ila Ni useful Sana kwa Lissu Kama akiwatumia in secret .
 
Wazo zuri Sana Lissu alitumie madna CCM kwenyewe ndani hawataki hata kumsikia , ila hawaonyeshi waziwazi , Ila Ni useful Sana kwa Lissu Kama akiwatumia in secret .
Januari anasoma hili bandiko japo anaweza kumpigia mzee kinana, na mzee Lowasa lakini kwa sasa simu zao zipo under oversight na ile cabinet zao ila kama ikitokea mchezo ukachezwa basi tunaandika kumbukumbu this year.
 
Wakati Lowasa anagombea Chadema mlisema maneno kama haya lakini mwisho wa siku mlikimbia thread zenu.
Comrade mawazo yako ni sawa na mwenyekiti wenu, yaani unaonyesha upendi ushindani 't shown in you' unataka kipindi kama hiki cha uchaguzi basi asiwepo mpinzani mwenye nguvu kisa alikuwepo Lowasa 😷!
 
Haya Naona Mnaingia kwenye Mtego Wa CCM niliwaambia kuwa Hivyi vyama Vya mifukoni havijui kuwa Siasa ni Sayansi Wa hiyo unamshauri lisu Ashirikiane na wanaCCM unaodhani hawako vizuri na Magu ili Tundu Ashinde hahahaha Naipenda CCM kea sababu daima inawachanganya wapinzani Haya Endeleeni kumshauri
 
Leo unaona ni mtego siyo?.

2015 wakati wametumika kukata manyoya ya kondoo na kumpa huyu mnayemchukia leo hukuwepo?

 
CCM haijawahi kuwa na kimtu kama wewe.
Wewe kama unadhani ni rahisi jipeleke wewe sasa kwa huyo Lissu wako, halafu baada ya dakika 90 utaona matokeo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…