List mpya ya mabilionea 55 wa kiafrika

List mpya ya mabilionea 55 wa kiafrika

tanzanitedox

New Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Katika "Trending now" ya Yahoo leo kwa mujibu wa Jarida moja la Kinigeria Afrika in Mabilionia 55, Kati yao 20 ni wanigeria. Mabilionia wazee ni wawili Mohammed El fayed (Baba yake Dodi) na Manu Chandaria wa kenya. Billionia kijana zaidi ni Mohammed Dewji wa Tanzania .Na Mwafrika tajiri zadi ni Mr Dangote wa Nigeria.Katika rist hiyo mwanamke tajiri zaidi duniani pia ni mnigeria (Na siyo Oprah)
 
Haya mambo ya kuwafahamu matajiri hayana tija kwa masikini waliowengi. Weka mikakati ya kuwezesha watu kupiga hatua na si kuwajua wenye hela haya ni mawazo mgando. Tubadilike bana aaah
 
Ina maana awa mabilionea wa Arusha hawapo kwenye hiyo list? Hiyo list itakuwa fake.....
 
Ina maana awa mabilionea wa Arusha hawapo kwenye hiyo list? Hiyo list itakuwa fake.....

hahahahahahaaa,nyie watu humu jf mna nini???hehehhe
aaaah,asbui nimeanza kwa kicheko,
any way watu wa arusha watakuja kufafanua hapa
 
Unaposema mabilionea una consider currency gani? kama ni USD basi wengi wa Africa watabaki ni mamilionea tu na mabilionea watakuwa wachache sana.
 
Haya mambo ya kuwafahamu matajiri hayana tija kwa masikini waliowengi. Weka mikakati ya kuwezesha watu kupiga hatua na si kuwajua wenye hela haya ni mawazo mgando. Tubadilike bana aaah
Hata mimi nashindwa kuelewa tukiwafahamu hao mabilionea ndio inakuwaje...dah! Wabongo bana..
 
Katika "Trending now" ya Yahoo leo kwa mujibu wa Jarida moja la Kinigeria Afrika in Mabilionia 55, Kati yao 20 ni wanigeria. Mabilionia wazee ni wawili Mohammed El fayed (Baba yake Dodi) na Manu Chandaria wa kenya. Billionia kijana zaidi ni Mohammed Dewji wa Tanzania .Na Mwafrika tajiri zadi ni Mr Dangote wa Nigeria.Katika rist hiyo mwanamke tajiri zaidi duniani pia ni mnigeria (Na siyo Oprah)
al fayed ni muingereza sio mwafrica.
 
Back
Top Bottom