List of all Nobel Prize winners in Physics from 1901-2024

List of all Nobel Prize winners in Physics from 1901-2024

Makanyaga

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2007
Posts
11,129
Reaction score
7,321
Wa kwanza kabisa alikuwa Mjerumani; Wilhelm Röntgen mwaka 1901
Wa pili walikuwa waholanzi wawili;
Hendrik Lorentz na Pieter Zeeman mwaka 1902

Mwaka 1921: Albert Einstein
Miaka 20 baadaye tangu kuanza kwa tuzo; kichwa kingine tena kibaya duniani kutoka Ujerumani Albert Einstein kikaibuka na prize hiyo kwenye PHOTOELECTRIC EFFECT; iliyopelekea solar power kuwepo ambayo matumizi yake yanaendelea kupaa kila siku duninani

Possibly kama SOLAR POWER isongegundulika, The International Space Station (ISS ) isingekuwepo

Solar power
The ISS electrical system uses solar cells to directly convert sunlight to electricity. Large numbers of cells are assembled in arrays to produce high power levels. This method of harnessing solar power is called photovoltaics.

Kabla ya kupata prize hii; huyu alikuwa tayari ameshatoa theory mwaka 1905 iliyosema kuwa mwanga ni kitu pekee chenye kasi kuzidi mada zote zilizopo kwenye uumbaji au UNIVERSE, (siyo kwenye solar system, kwenye UNIVERSE)

Mwaka 1922: Niels Bohr -Denmark, University of Copehagen
Huyu alikuwa ni swahiba wa karibu sana wa Albert Einstein
Huyu alirekebisha theory iliyokuwepo kipindi hicho kuhusiana na structure ya atom, iliyokuwa imewekwa na Dalton

Baada ya kufanya marekebisho hayo, aliweka theory ambayo inatumika ikiwa iko sahihi hadi leo; kama kuna marekebisho ya theory hiyo basi bado sijabahatika kuyapata

Maelezo zaidi kuhusiana na vichwa hivi vilivyochangia kuubadilisha ulimwengu huu kwa kasi ya ajabu mno, yanapatikana hapa:

 
Wa kwanza kabisa alikuwa Mjerumani; Wilhelm Röntgen mwaka 1901
Wa pili walikuwa waholanzi wawili;
Hendrik Lorentz na Pieter Zeeman mwaka 1902

Mwaka 1921: Albert Einstein
Miaka 20 baadaye tangu kuanza kwa tuzo; kichwa kingine tena kibaya duniani kutoka Ujerumani Albert Einstein kikaibuka na prize hiyo kwenye PHOTOELECTRIC EFFECT; iliyopelekea solar power kuwepo ambayo matumizi yake yanaendelea kupaa kila siku duninani

Possibly kama SOLAR POWER isongegundulika, The International Space Station (ISS ) isingekuwepo

Solar power
The ISS electrical system uses solar cells to directly convert sunlight to electricity. Large numbers of cells are assembled in arrays to produce high power levels. This method of harnessing solar power is called photovoltaics.

Kabla ya kupata prize hii; huyu alikuwa tayari ameshatoa theory mwaka 1905 iliyosema kuwa mwanga ni kitu pekee chenye kasi kuzidi mada zote zilizopo kwenye uumbaji au UNIVERSE, (siyo kwenye solar system, kwenye UNIVERSE)

Mwaka 1922: Niels Bohr -Denmark, University of Copehagen
Huyu alikuwa ni swahiba wa karibu sana wa Albert Einstein
Huyu alirekebisha theory iliyokuwepo kipindi hicho kuhusiana na structure ya atom, iliyokuwa imewekwa na Dalton

Baada ya kufanya marekebisho hayo, aliweka theory ambayo inatumika ikiwa iko sahihi hadi leo; kama kuna marekebisho ya theory hiyo basi bado sijabahatika kuyapata

Maelezo zaidi kuhusiana na vichwa hivi vilivyochangia kuubadilisha ulimwengu huu kwa kasi ya ajabu mno, yanapatikana hapa:

Albert Einstein​

1716373256647.png


Albert Einstein was a German-born theoretical physicist who is widely held to be one of the greatest and most influential scientists of all time.
 

Albert Einstein

View attachment 2996660


Albert Einstein was a German-born theoretical physicist who is widely held to be one of the greatest and most influential scientists of all time.
Hiyo Theory aliyoitoa mwaka 1905 ni ya milele, hakuna atakayekuja kuikosoa au kuirekebisha, hiyo ilitoka moja kwa moja "Nothing is faster than light"

Halafu kwa upande mwingine huyu hakuwa mjerumani perce bali mchanganyiko wa lile kabila linaloendelea kupigana vita huko Mashariki ya kati
Kitu ambacho walio wengi hawaelewi ni kwamba Israeli ni Taifa teule la Mungu na ndiyo maana majitu yaliyo mengi yenye akili za namna hii, uki-trace root yake ni huko Israel
Hao Nobel laureates walioorodheswha hapo ukifuatilia root yao unaweza ukakuta kuwa asilimia zaidi ya 90, wana asili ya Isreal; Israelites wametapakaa dunia nzima

Maana ya Taifa Teule la Mungu
Ni taifa ambalo Mungu alilichagua kulitumia tu kama SAMPLE kufikishia mesaage zake duniani, in as much the same way mtafit anavyoweza kuchuka kilo 10 za kokoto au udongo kwenye heap ya kilo 100

Kwa hiyo kuwa taifa teule haimaanishi kuwa taifa hilo ni zuri mno kuliko mataifa mengine, hapana. Tuseme kwa mfano kwa upande wa watu, mteule wa Mungu anaweza akawa hata KAHABA, ambaye watu wote wanamuogopa

Taifa teule la Mungu haimaanishi kuwa halifanyi makosa au linatenda mema muda wote. Linaweza hata likawa baya kuliko mataifa mengine yote, japo kwa Israeli siyo the case. Ili Utafiti uweze kuendelea, mtafiti huwa analazimika kuilinda na kuitunza zaidi sample yake, ukilinganisha na lile heap la pale aliitoa sample hiyo
Mungu akiamua kutimiza unabii wake, huwa hajali njia itakayotumika, huwa anajali matokea tu

Kwenye Biblia tunasoma kuwa baada ya Mfalme Daudi kumuua kamanda wake Uria kisa akiwa anataka kuficha siri ya kuzini na kumpiga mimba mke wa Uria, mojawapo ya adhabu alizopewa Daudi kupitia kinywa cha Bwana ni kwamba masuria wake wote watazini na mmojawapo wa waoto wake Daudi mchana kweupe na ilitokea hivyo> Mungu alimwambia Daudi aisema kuwa " ....you didi it in secret; I will do it in a broad daylight ....."

Njia huwa ni ya Mungu, halafu matokea ni ya kwetu. Wewe kama unataka asali, huwezi kumpangia nyuki mahali pa kutua wakati anapokuwa yuko kwenye pilika pilika za kutengeneza asali; wewe shida yako asali, mwache nyuki atue mahali ambapo huwa antua ikiwa ni pamoja na kwenye kinyesi cha binadamu

Sasa huwezi ukaanza kulalamika kwamba kwa nini nyuki huwa antua hata kwenye kinyesi anapokuwa anatengeneza asali!!!

The process of tengeneza asali, belong's to nyuki, huwezi kumpangia nyuki; vinginevyo hawezi akatengeneza asali
 
Back
Top Bottom