Korea pia ipoNa pia MAGLEV train technology ni technolojia ya bei ghali sana kuanzia ujenzi wa mradi hadi uendeshaji wake. Hii husababisha nauli yake kua kubwa mno kwa abiria, ndio maana Germany wenyewe wagunduzi wa hii technolojia hawaja ifanyia commercial implementation. Wachina waliinunua hii tech kwa wajerumani lakini wamejenga sehemu ndogo sana huko Shanghai
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Serikali isiyo na uwazi ni serikali Binafsi... Subirini zenu mlishachaguliwa kitambo kutoka Uturuki.
Hizo list sijaona kitu hii!
Teknolojia ya mjerumani hiyo akawauzia china na korea na japanSiku niliyogundua kuwa train za MAGLEV zinaelea hewani (yaani train haigusi rail na haina magurudumu), na kwa sasa kuna zinazo tembea 600 km/h, nikajisemea tu kuwa binadamu ni NYOKO!
Ni technology mbili tofauti mkuu! Ukiwasoma zaidi utangundua!Teknolojia ya mjerumani hiyo akawauzia china na korea na japan
Principle ni ile ile ya magnetic attraction na repulsionNi technology mbili tofauti mkuu! Ukiwasoma zaidi utangundua!
Japan walikuja na S+S or N+N magnetic with electric controls! Wakati Germany walibuni S+N or N+S! (hii ni tafsiri yangu isiyo rasmi) unaweza kuwasikiliza You Tube!
Naam!Principle ni ile ile ya magnetic attraction na repulsion
Naona umesoma sanaNa pia MAGLEV train technology ni technolojia ya bei ghali sana kuanzia ujenzi wa mradi hadi uendeshaji wake. Hii husababisha nauli yake kua kubwa mno kwa abiria, ndio maana Germany wenyewe wagunduzi wa hii technolojia hawaja ifanyia commercial implementation. Wachina waliinunua hii tech kwa wajerumani lakini wamejenga sehemu ndogo sana huko Shanghai
Hawa kununa walipewa kama nyongeza na macho madogoYale mataka taka ya Kenya. Sijui waliyanunua nchi gani?
hii cost take iko chini na ni cheap . haitumii umeme wala gesi Bali ni kitu asiliSerikali isiyo na uwazi ni serikali Binafsi... Subirini zenu mlishachaguliwa kitambo kutoka Uturuki.
Hizo list sijaona kitu hii!