Namba 1 hata world cup hajabeba? wewe ni ZERO km anavyoitamka Magu nilitarajia kuona 1.PELLE, 2.MARADONA 3.CR 7 4.RONALDINHO 5.DE LIMA 6.MESSI 7.ZIDANE 8 DE STEFANO 9.FRANK BERCKENBOUG NA10. OLIVER KAHN.Natumai Mu wazima Ndugu zangu Basi wikiendi Hii Nimeamua kuwaletea Karibu List ya wachezaji kumi Bora wa Mpira wa Miguu wa Muda wote Ni kuanzia wa kwanza Mpaka wa Kumi.
source: Click Hapa
1.Lionel Messi
2.Pele
3.Diego Maradona.
4.Zinedine Zidane
5.Franz BackenBauer
6.Cristiano Ronaldo
7.Alfredo Di Stefano
8.Xavi Hernandez
9. Johan Cruyff
10. Michel Platini
we ultaka awe nan wa kwanzaet Messi namba moja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
haya ni Mahaba
Kombe la dunia umeenda mbali. Kombe la bara lao tu. Copa Amerika. Haya ni mahaba ya dhati juu ya mchezaji huyo.Namba 1 hata world cup hajabeba? wewe ni ZERO km anavyoitamka Magu nilitarajia kuona 1.PELLE, 2.MARADONA 3.CR 7 4.RONALDINHO 5.DE LIMA 6.MESSI 7.ZIDANE 8 DE STEFANO 9.FRANK BERCKENBOUG NA10. OLIVER KAHN.
Hahaha siku zote unapofanya makubwa ukiwa na umri mdogo kuliko wenzako unaopambanishwa nao unapewa heshima kubwa sana. Messi kafanya makubwa akiwa mdogo na bado ana chance ya kuendelea kufanya.et Messi namba moja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
haya ni Mahaba
Cr7 kombe la dunia amekipata lini?Kombe la dunia umeenda mbali. Kombe la bara lao tu. Copa Amerika. Haya ni mahaba ya dhati juu ya mchezaji huyo.
Wa kwanza ni PELE huyu ndio mpaka sasa bado hajazaliwa katika macho yetu. Hakuna mtu kama huyu jamaa kwenye ulimwengu wa sokaKaka ulitaka wa Kwanza awe Nani?
Nani kasema Cr7 kachukua kombe la dunia.? Nilisema kombe la dunia ameenda mbali. Nilitaka kurelate kwenye kombe la bara lake walau hapo ndio anaweza kuingia top 5.Cr7 kombe la dunia amekipata lini?
Huyu ni wa kawaida tu
Ronaldinho hayupo mkuu...
hao wote hawamkaribii....