Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Ronaldo de Lima hayupo? Sijawahi kuona list mbovu kama hiiNatumai Mu wazima Ndugu zangu Basi wikiendi Hii Nimeamua kuwaletea Karibu List ya wachezaji kumi Bora wa Mpira wa Miguu wa Muda wote Ni kuanzia wa kwanza Mpaka wa Kumi.
source: Click Hapa
1.Lionel Messi
2.Pele
3.Diego Maradona.
4.Zinedine Zidane
5.Franz BackenBauer
6.Cristiano Ronaldo
7.Alfredo Di Stefano
8.Xavi Hernandez
9. Johan Cruyff
10. Michel Platini
De Lima atakuepo kwenye top 20. Sasa de Lima anamfikia nani hapo?Ronaldo de Lima hayupo? Sijawahi kuona list mbovu kama hii
Unazungumzia wachezaji 10 bola unamuacha dilima wewe weacha mahaba hayo dilima nihatari
Namba moja Pele hapo toa huyo mesi
Cr7 kabeba? Acha mahabaNamba 1 hata world cup hajabeba? wewe ni ZERO km anavyoitamka Magu nilitarajia kuona 1.PELLE, 2.MARADONA 3.CR 7 4.RONALDINHO 5.DE LIMA 6.MESSI 7.ZIDANE 8 DE STEFANO 9.FRANK BERCKENBOUG NA10. OLIVER KAHN.
Haya tuangalie mafanikio kikombe gani kakosa dilima maishani mwake ukifananisha nahao unao wasema
Huyu jamaa ni hatari kuliko wote hapo.
Ronaldinho hayupo mkuu...
hao wote hawamkaribii....
Messi ana vikombe 31 , Cr 7 ana vikombe 23.mahaba ya waziiii kabisa , hivi cr7 vs 10 mess ni nani kaleta mafanikio katika club zao ?? na timu zao za mataifa ??? ... Mkuu hivo vigezo ulivo tumia kumuweka mess no 1. your wrong . labda ni mahaba yako tu huyo messi
Pele atabaki kuwa mfalme as long as hajapatikana mwingine