KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
Kama ni makombe seedof angetawala apoNamba 1 hata world cup hajabeba? wewe ni ZERO km anavyoitamka Magu nilitarajia kuona 1.PELLE, 2.MARADONA 3.CR 7 4.RONALDINHO 5.DE LIMA 6.MESSI 7.ZIDANE 8 DE STEFANO 9.FRANK BERCKENBOUG NA10. OLIVER KAHN.
Mkuu upo sahihi,,, ukiniuliza mkali wa football mmoja tu wa wakati wote ,,,jina ni hilo moja tu ,,,"GAUCHO"
Ronaldinho hayupo mkuu...
hao wote hawamkaribii....
Mleta Uzi alipewa majina yenye wote hao hapa katuletea list yake ya mfukoni kama ile ya JK kule Dodoma.Hiyo orodha imezingatia ubora ama ipo random...?
Sioni namna unaweza kumweka Hernandez ukamwacha De Lima, Luis Figo na Gaucho?!
Messi hajawahi kushinda worldcup umuweke 1 Pele, Maradona, Garincha utawaacha wapi?Natumai Mu wazima Ndugu zangu Basi wikiendi Hii Nimeamua kuwaletea Karibu List ya wachezaji kumi Bora wa Mpira wa Miguu wa Muda wote Ni kuanzia wa kwanza Mpaka wa Kumi.
source: Click Hapa
1.Lionel Messi
2.Pele
3.Diego Maradona.
4.Zinedine Zidane
5.Franz BackenBauer
6.Cristiano Ronaldo
7.Alfredo Di Stefano
8.Xavi Hernandez
9. Johan Cruyff
10. Michel Platini
Hata mimi nakataa, Dinho tatu bora yumo, ikizidi sana tano bora
Ronaldinho hayupo mkuu...
hao wote hawamkaribii....
Mess hawezi kuwa Juu ya Zidane hebu angalieni pindi anavheza mpira mechi za Brazil na France Zizou alivyokuwa akifunikaNamba 1 hata world cup hajabeba? wewe ni ZERO km anavyoitamka Magu nilitarajia kuona 1.PELLE, 2.MARADONA 3.CR 7 4.RONALDINHO 5.DE LIMA 6.MESSI 7.ZIDANE 8 DE STEFANO 9.FRANK BERCKENBOUG NA10. OLIVER KAHN.
Namba 1 hata world cup hajabeba? wewe ni ZERO km anavyoitamka Magu nilitarajia kuona 1.PELLE, 2.MARADONA 3.CR 7 4.RONALDINHO 5.DE LIMA 6.MESSI 7.ZIDANE 8 DE STEFANO 9.FRANK BERCKENBOUG NA10. OLIVER KAHN.
Nahisi ulikuwa hujaota hata meno kama gaucho kwako ni wa kawaida, aseiii poleHuyu ni wa kawaida tu
Mpira kaanza kufatlia juzNahisi ulikuwa hujaota hata meno kama gaucho kwako ni wa kawaida, aseiii pole