List: Wachezaji 10 Bora wa Mpira wa Miguu wa Muda Wote!

Hii list ni yako binafsi?? Umetumia vigezo gani kama ni list yako?? Avatar yako inaonyesha pia una bifu na CR7.
 
Fernando Torres, Pique , Ramos. Wamebeba World Cup , UERO vipi walistahili waingie top ten?
Tatizo hamjui ,mnakosoa msichokifaham[emoji36]
 
 
Yaani kwenye hiyo list Ronaldo De Lima a.k.a Phenomena hayupo,hiyo list ni ya mfukoni kama ile ya JK Dodoma.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
nilkuwa nakufwatilia sana hoja zako kwa unavomtetea malinzi nkajua upo vizuri kwa hoja lakini kupitia hii comment nmekutoa kwenye suala la mpira, yaan huyo de lima hata kwenye top 20 hawezi ingia
 
Fernando Torres, Pique , Ramos. Wamebeba World Cup , UERO vipi walistahili waingie top ten?
Tatizo hamjui ,mnakosoa msichokifaham[emoji36]
Mkuu hao wamebeba mara ngapi.? Na PELE kabeba mara ngapi.? Ukipata jibu jifunze kuto kukurupuka. Uzao wa Pele ulishakwisha. Eti Tores, Pique looh. Tujue kutofautisha mimba na kitambi
 

Mkuu hiyo LIST HAIJAKAA VIBAYA SANA....ila kuna replacement inahitajika hapo kwa XAVI INAFAHAMIKA NI MOJA KATI YA VIUNGO BORA DUNIANI KUWAHI KUTOKEA LAKINI SIO KWA KUWEPO KWENYE LIST HII...MAANA KWANZA ANA MAFANIO YA KITIMU NA SIO YEYE BINAFSI...HAPO IYO NAFASI NI YA "RONALDINHO GAUCHO"...ALAFU NAVYOONA INAFAA HIYO LIST IWE KWENYE MPANGILIO HUU...1.PELE 2.ARIMANDO MARADONA. 3.ALIFREDO DE STEPHANO 4.ZINEDINE ZIDANE 5.RONALDINHO GAUCHO 6.FRANZ BACKENBAUER 7.LIONEL MESSI. 8.CRISTIANO RONALDO 9.MICHEL PLATINI 10.JOHAN CRUYFF ....That's the way it should be!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…