BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Natumai Mu wazima Ndugu zangu Basi wikiendi Hii Nimeamua kuwaletea Karibu List ya wachezaji kumi Bora wa Mpira wa Miguu wa Muda wote Ni kuanzia wa kwanza Mpaka wa Kumi.
source: Click Hapa
1.Lionel Messi
2.Pele
3.Diego Maradona.
4.Zinedine Zidane
5.Franz BackenBauer
6.Cristiano Ronaldo
7.Alfredo Di Stefano
8.Xavi Hernandez
9. Johan Cruyff
10. Michel Platini
Kweli kabisaMkuu hiyo LIST HAIJAKAA VIBAYA SANA....ila kuna replacement inahitajika hapo kwa XAVI INAFAHAMIKA NI MOJA KATI YA VIUNGO BORA DUNIANI KUWAHI KUTOKEA LAKINI SIO KWA KUWEPO KWENYE LIST HII...MAANA KWANZA ANA MAFANIO YA KITIMU NA SIO YEYE BINAFSI...HAPO IYO NAFASI NI YA "RONALDINHO GAUCHO"...ALAFU NAVYOONA INAFAA HIYO LIST IWE KWENYE MPANGILIO HUU...1.PELE 2.ARIMANDO MARADONA. 3.ALIFREDO DE STEPHANO 4.ZINEDINE ZIDANE 5.RONALDINHO GAUCHO 6.FRANZ BACKENBAUER 7.LIONEL MESSI. 8.CRISTIANO RONALDO 9.MICHEL PLATINI 10.JOHAN CRUYFF ....That's the way it should be!!!
Dinyo na Ronado de Lima wanakosaje
Huyu ni wa kawaida tu
Chupuchupu asiwepoShukrani sana mkuu...[HASHTAG]#CR7[/HASHTAG] angekosekana ningeandamana..
Wa kwanza ni PELE huyu ndio mpaka sasa bado hajazaliwa katika macho yetu. Hakuna mtu kama huyu jamaa kwenye ulimwengu wa soka
Nani kasema Cr7 kachukua kombe la dunia.? Nilisema kombe la dunia ameenda mbali. Nilitaka kurelate kwenye kombe la bara lake walau hapo ndio anaweza kuingia top 5.
No offense Zidane alikuwa mkali sana, lakini Ronaldinho kutokuwepo kwenye hii list kunaifanya iwe ngumu kujua umetumia vigezo gani?
Zinadine namba 4 wakati Michael Platin umemuweka wa 10 kweli????
Xavi in, Ronaldinho out. Kama sio mahaba basi una lako
Ronaldinho hayupo mkuu...
hao wote hawamkaribii....
et Messi namba moja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
haya ni Mahaba
Huyu kwangu kwenye 10 bora lazima aingie
Ronaldinho hayupo mkuu...
hao wote hawamkaribii....
Ijapokua namuelewa King Messiah lkn mkuu umenizid mara 1000 kula like[emoji106]Umeona dada eee?? Na bado ataendelea kuwaumiza bureee.at end of the day atawasababishia mupate anxiety disorders bureee. HUYU NDIYO THE LEO 10 HAELEZEKI.
Messi anaingia vipi kwa PELE? Yan hata robo haingii..DIEGO ARMANDO MARADONA,,,,huyu ndyo mhuni wa soka bwanaa baada ya KING MESSI,,, huyo babu kipele nimemfuatiria sana youtube hana lolote.
1-KING MESSI
2-KING DIEGO
Nashangaa vitu hivi havisemwi kwa Capital Letters [emoji23] [emoji23] [emoji23]George opong weah
Kwenye hii list kuna mchezaji hajawahi kushinda kombe lolote akiwa amevaa jersey tofauti na ya BarcelonaNatumai Mu wazima Ndugu zangu Basi wikiendi Hii Nimeamua kuwaletea Karibu List ya wachezaji kumi Bora wa Mpira wa Miguu wa Muda wote Ni kuanzia wa kwanza Mpaka wa Kumi.
source: Click Hapa
1.Lionel Messi
2.Pele
3.Diego Maradona.
4.Zinedine Zidane
5.Franz BackenBauer
6.Cristiano Ronaldo
7.Alfredo Di Stefano
8.Xavi Hernandez
9. Johan Cruyff
10. Michel Platini
Asanteee kwa kusambaza upendo mjomba.. Hahahahxavi hernandez vs ronadinho = diamond vs harmorapa