Masonic 666
Senior Member
- Dec 15, 2017
- 128
- 213
Lists za beach zenye swimming pools na muzikiKama sijakuelewa hivi mkuu...
Kuna mziki na swimming pools?Landmark-Mbezi beach
Ramada-Mbezi beach
South beach -Kigamboni
.....
Bei ?Ndio
Ramada na Landmark ni Tsh 25 na 15Bei ?
Hapo Landmark mziki wanapiga mwisho saa ngapi? Na hiyo 15 ni pamoja na kuogelea au?Ramada na Landmark ni Tsh 25 na 15
South beach ni 10
Mziki upo?South beach.. kigamboni
10000
Nisingeorodhesha south beach hali ya kuwa muziki hamna, si umetaka yenye mziki na swimming pool mkuu.Mziki upo?
Hiyo elfu 10 ni pamoja na kuogelea?
Mziki wanapiga lini na lini na saa ngapi mpaka saa ngapi?Nisingeorodhesha south beach hali ya kuwa muziki hamna, si umetaka yenye mziki na swimming pool mkuu.
Yah! Hyo 10 elfu ni pamoja na kuogelea pia.
Ijumaa, jumamosi na jumapili.. ama siku za sikukuu pia.Mziki wanapiga lini na lini na saa ngapi mpaka saa ngapi?
Usalama na usafiri vipi?Ijumaa, jumamosi na jumapili.. ama siku za sikukuu pia.
Mziki unaanza mchana hiv na kuisha kwake usiku huwa inategemeana na mzuka wa mule ndani, kama watu wana mizuka utapigwa mpak saa 4 saa 5, kama ndio ile kila mmoja anachomoka watu wanapungua wanafunga saa 3 hv ama 4
Ila swimming huwa zinafungwa mida ya saa 4 kasoro siku ya mkesha wa mwka mpya tuu.
Usalama?Beach Comber ipo mbezi Beach pembeni ya Landmark ni buku 6 tuu unaogelea, unakunya, unacheza mziki
vipi kuhusu hiyo landmark?Beach Comber ipo mbezi Beach pembeni ya Landmark ni buku 6 tuu unaogelea, unakunya, unacheza mziki