mwanaupepo
Member
- Apr 5, 2013
- 98
- 22
Hii ndio serikali ya Tz
Kumbuka hawa ndio walee walio fanyiwa updates kwenye matokeo yao...
Hawa waliochaguliwa kwa mara ya pili, pia wenye divison 4 wamo tena ndio weng.. kigezo nikua na credit tatu!
kama sifa za shule za private vile, ambazo zinatafuta wateja kwenye biashara yao!!
Inayoonekana madarasa yamekua meng wanafunz waliopo wachache.... kwaio watakua wameomba nyongeza
kama vle tunavyouza nakununua nyanya sokoni.,,
Ila wenzao wameanza kusoma zamani!!!!.... wenyewe hawaliangalii hilo, ilimradi kue naidadi kubwa ya wanafunz ili
wakatambishiane na wanasiasa majukwaani na bungen.
Nahic na 2nd selection ya kwenda vyuoni, itakuja mwezi wa kwanza mwakani! mliokosa msiogope serikali nye2 itawakumbuka2
List ipo kwenye attachment hapo chini..... mnaotumia simu poleni!
Kumbuka hawa ndio walee walio fanyiwa updates kwenye matokeo yao...
Hawa waliochaguliwa kwa mara ya pili, pia wenye divison 4 wamo tena ndio weng.. kigezo nikua na credit tatu!
kama sifa za shule za private vile, ambazo zinatafuta wateja kwenye biashara yao!!
Inayoonekana madarasa yamekua meng wanafunz waliopo wachache.... kwaio watakua wameomba nyongeza
kama vle tunavyouza nakununua nyanya sokoni.,,
Ila wenzao wameanza kusoma zamani!!!!.... wenyewe hawaliangalii hilo, ilimradi kue naidadi kubwa ya wanafunz ili
wakatambishiane na wanasiasa majukwaani na bungen.
Nahic na 2nd selection ya kwenda vyuoni, itakuja mwezi wa kwanza mwakani! mliokosa msiogope serikali nye2 itawakumbuka2
List ipo kwenye attachment hapo chini..... mnaotumia simu poleni!