Nachangia nikiwa kama mmoja wa viongozi wa udoso,hawa wameshiriki ubadhirifu wa zaidi ya milioni ishirini(20 mil.),vinara wakuu ni rais na waziri mkuu wake
kama wamegundulika kwanini atua kali zidi yao isichululiwe
Nadhani unamaanisha "hatua" na sio "atua"
imekaa kiumbea zaidi
siamini kama kweli thread hii imeanzishwa na msomi