List ya Mirabaha ni kama orodha ya wauzaji wakubwa mitaa ya uswazi, si ajabu vitumbua vya mama chiku kuuzwa vingi kuliko bidhaa za azam / bakresa

List ya Mirabaha ni kama orodha ya wauzaji wakubwa mitaa ya uswazi, si ajabu vitumbua vya mama chiku kuuzwa vingi kuliko bidhaa za azam / bakresa

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Taasisi ya Haki Miliki Tanzania COSOTA imetoa orodha ya Wasanii 21 wa Tanzania ambao wameongoza kwa kupata pesa nyingi za mirabaha kutokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye Radio na TV.

21. Ray C
20. Lady Jaydee
19. Abby Chamz
18. Luludiva
17. Mwasiti
16. Linah Sanga
15. Anjella
14. Maua Sama
13. Saraphina
12. Nandy
11. Mabantu
10. Jay Melody
9. Juma Jux
8. Darassa
7. Profesa J
6. Mwana FA
5. Diamond Platnumz
4. Harmonize
3. Ibraah
2. Ay
1. Alikiba.

Yaan hii ni sawa na kusema jarida la forbes limetaja wafanya biashara wakubwa katika mtaa wa uswahilini yombo relini anaeongoza ni mama chiku muuza vitumbua anauza saaana kwa siku vitumbua 500 , anaefata mama monso muuza kachori kwa siku anauza kachori 400, namba tatu mama mwajuma muuza miguu ya kuku kwa siku anauza miguu 300, namba nne ni mama asha muuza barafu kwa siku anauza barafu 200, tano ni bakhressa ice cream zake wananunua watu 100 mtaa ule lakini kumbuka ana bidhaa nyingi zaidi na zinauzwa nchi nzima.

Yaani zuchu hayupo, Mario hayupo, Rayvanny hayupo ???? hii list ni vipi aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaanze upya, poleeeeh
 
Kwani lazima wawepo???
Taasisi ya Haki Miliki Tanzania COSOTA imetoa orodha ya Wasanii 21 wa Tanzania ambao wameongoza kwa kupata pesa nyingi za mirabaha kutokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye Radio na TV.

21. Ray C
20. Lady Jaydee
19. Abby Chamz
18. Luludiva
17. Mwasiti
16. Linah Sanga
15. Anjella
14. Maua Sama
13. Saraphina
12. Nandy
11. Mabantu
10. Jay Melody
9. Juma Jux
8. Darassa
7. Profesa J
6. Mwana FA
5. Diamond Platnumz
4. Harmonize
3. Ibraah
2. Ay
1. Alikiba.

Yaan hii ni sawa na kusema jarida la forbes limetaja wafanya biashara wakubwa katika mtaa wa uswahilini yombo relini anaeongoza ni mama chiku muuza vitumbua anauza saaana kwa siku vitumbua 500 , anaefata mama monso muuza kachori kwa siku anauza kachori 400, namba tatu mama mwajuma muuza miguu ya kuku kwa siku anauza miguu 300, namba nne ni mama asha muuza barafu kwa siku anauza barafu 200, tano ni bakhressa ice cream zake wananunua watu 100 mtaa ule lakini kumbuka ana bidhaa nyingi zaidi na zinauzwa nchi nzima.

Yaani zuchu hayupo, Mario hayupo, Rayvanny hayupo ???? hii list ni vipi aisee
 
Taasisi ya Haki Miliki Tanzania COSOTA imetoa orodha ya Wasanii 21 wa Tanzania ambao wameongoza kwa kupata pesa nyingi za mirabaha kutokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye Radio na TV.

21. Ray C
20. Lady Jaydee
19. Abby Chamz
18. Luludiva
17. Mwasiti
16. Linah Sanga
15. Anjella
14. Maua Sama
13. Saraphina
12. Nandy
11. Mabantu
10. Jay Melody
9. Juma Jux
8. Darassa
7. Profesa J
6. Mwana FA
5. Diamond Platnumz
4. Harmonize
3. Ibraah
2. Ay
1. Alikiba.

Yaan hii ni sawa na kusema jarida la forbes limetaja wafanya biashara wakubwa katika mtaa wa uswahilini yombo relini anaeongoza ni mama chiku muuza vitumbua anauza saaana kwa siku vitumbua 500 , anaefata mama monso muuza kachori kwa siku anauza kachori 400, namba tatu mama mwajuma muuza miguu ya kuku kwa siku anauza miguu 300, namba nne ni mama asha muuza barafu kwa siku anauza barafu 200, tano ni bakhressa ice cream zake wananunua watu 100 mtaa ule lakini kumbuka ana bidhaa nyingi zaidi na zinauzwa nchi nzima.

Yaani zuchu hayupo, Mario hayupo, Rayvanny hayupo ???? hii list ni vipi aisee
List ya mchongo
 
Hao kina zuchu wa juzi juzi tu hapa, bado mirabaha yao haijaanza kusoma
 
Mmakonde nyimbo zake zina pigwa na media zote kubwa na yupo namba 4, hii list ni ya mchongo ilitakiwa achuane na king wa kariakoo
 
Kumbuka hiyo ni serikali, Kwenye data kama hizo za entertainment haijaelemea upande wowote/Haijatoa favour kwa yeyote hapo. Ingekua chombo binafsi labda Clouds au eatv basi maswali yangekua mengi.
 
Yaani watu wanashida sana dunia hii hadi list tu ya mirabaha unakuja kubishana nayo hapa sasa wao wametoa data wewe unabisha kws data ipi na kwanini uamini serikali inaweza toa data za uongo kuhusu wasanii na kwa faida gani labda yaani
 
Taasisi ya Haki Miliki Tanzania COSOTA imetoa orodha ya Wasanii 21 wa Tanzania ambao wameongoza kwa kupata pesa nyingi za mirabaha kutokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye Radio na TV.
Hii list umeitoa wapi? Cosota wanasema aliyeongoza ni waimba kwaya wana 8m na kiba ana 7m
 
Hii kitu italeta makelele yaani wasanii waliofanya vizuri mwaka jana Mario na Zuchu hawapo?Hata yule dogo Lody Music nae hayupo.

Manake naona baadhi ya watangazaji na madj hapo watataka 10% ya mrabaha atakaopata msanii.Wale wasanii waliotengwa na media na wengine wenye beef zao na watangazaji/madj naona kabisa, nyimbo zao zitawekwa kapuni.

Wale ndugu zangu wakongwe na wasanii ambao hawapo kwenye hizi timu zetu za music wa bongofleva zinazo bebwa na media,nao nyimbo zao zitapigwa ila sio kivile hata ziwe nzuri vipi.

Nayaona makelele tena makelele yatawaelekea wale wasanii vipenzi vya media aka wenye timu zao.

Ila yote kwa yote na sikitika maproducer na waandishi wa nyimbo wame sahaulika. Mpaka sasa COSOTA hawaja tuambia kwenye hizo hela alizopata msanii, producer kachukua % ngapi na kama kuna mwandishi kamuandikia nyimbo naye kachukua % ngapi.

COSOTA kuna haja ya kukaa chini upya na kuangalia jinsi ya kulinda maslahi ya maproducer na wandishi wa nyimbo kama ikiwezekana wasipokee nyimbo bila msanii kuainisha au kukubali anamlipa % ngapi producer au mwandishi wa hiyo nyimbo au kama ikiwezekana COSOTA waweke kiwango cha asilimia ambayo producer au mwandishi anatakiwa kulipwa pindi hiyo nyimbo itakapopigwa kwenye radio yoyote na kwenye majukwaa.
 
Taasisi ya Haki Miliki Tanzania COSOTA imetoa orodha ya Wasanii 21 wa Tanzania ambao wameongoza kwa kupata pesa nyingi za mirabaha kutokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye Radio na TV.

21. Ray C
20. Lady Jaydee
19. Abby Chamz
18. Luludiva
17. Mwasiti
16. Linah Sanga
15. Anjella
14. Maua Sama
13. Saraphina
12. Nandy
11. Mabantu
10. Jay Melody
9. Juma Jux
8. Darassa
7. Profesa J
6. Mwana FA
5. Diamond Platnumz
4. Harmonize
3. Ibraah
2. Ay
1. Alikiba.

Yaan hii ni sawa na kusema jarida la forbes limetaja wafanya biashara wakubwa katika mtaa wa uswahilini yombo relini anaeongoza ni mama chiku muuza vitumbua anauza saaana kwa siku vitumbua 500 , anaefata mama monso muuza kachori kwa siku anauza kachori 400, namba tatu mama mwajuma muuza miguu ya kuku kwa siku anauza miguu 300, namba nne ni mama asha muuza barafu kwa siku anauza barafu 200, tano ni bakhressa ice cream zake wananunua watu 100 mtaa ule lakini kumbuka ana bidhaa nyingi zaidi na zinauzwa nchi nzima.

Yaani zuchu hayupo, Mario hayupo, Rayvanny hayupo ???? hii list ni vipi aisee
1-Kiba
2-AY
3-Ibra
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimekumbuka wimbo tulioimba utotoni wa 'VICHEKESHO KUMTAZAMA CHURA'.

Kazi iendelee.........
IMG_20220123_190332.jpg
 
Back
Top Bottom