hivi unajua hela anayolipwa developerIT bongo ni kichekesho tu...[emoji41]
Diploma ya computer science ipo IFM, ATC, MUST,UDSM pale coict karibu na majengo ya UCC na zingne but Computer eng ipo DIT, MUST, St. JosephGraphic design it's the best na web dev sio sana ila na pia software engineering ndo course inayolipa sana
Pia ivi kuna diploma ya computer science bcz I'm not sure??π³
Hv melo anapataje hela kutoka JF?? Mana sjawah kutana na Ads humu. Au zile MB tunazotumia humu JF ndo anapewa percentage kadhaa?IT kama unajua code vzur kabisa pesa utapga sana ila kama utaishia kutengeneza tu pc na kufanya graphics kdg lazma utaiona ni course ya kikuda.
Hao wanaokukatisha tamaa ndio wana smartphone na humu jf hawajui kuwa ni matokeo ya IT na pesa anazopata melo hawajui kabisa na kwa sasa dunia imegekia technology kama unajua vizur programming zama online utakula dollar mpaka bac
Huko kujua code unapataje pesa?IT kama unajua code vzur kabisa pesa utapga sana ila kama utaishia kutengeneza tu pc na kufanya graphics kdg lazma utaiona ni course ya kikuda.
Hao wanaokukatisha tamaa ndio wana smartphone na humu jf hawajui kuwa ni matokeo ya IT na pesa anazopata melo hawajui kabisa na kwa sasa dunia imegekia technology kama unajua vizur programming zama online utakula dollar mpaka bac
CCNA.Nijuzene
ipo mkuu mm nimesomadip ya computer science ipo mkuu!!
.Hv melo anapataje hela kutoka JF?? Mana sjawah kutana na Ads humu. Au zile MB tunazotumia humu JF ndo anapewa percentage kadhaa?
Unatumia Freebasics utaonaje Adsπ€£Hv melo anapataje hela kutoka JF?? Mana sjawah kutana na Ads humu. Au zile MB tunazotumia humu JF ndo anapewa percentage kadhaa?
Haya huwa ni maneno ya kujifariji tu , hiyo pesa unapiga kutoka wapi ndugu yangu acheni kudanganya watu.Wanakutisha mkuu, mimi nina diploma ya computer science napiga pesa kuliko daktari mwenye PHD.
Soma coding hasa Java ni tamu sanaa uanze kutengeneza android application pia usiache computer maintenance.
WaTZ weng wa online huwa ni wachoyo kuweka tricks waz ila kiuhalisia weng hasa tech gurus waliojikita online weng huwa wanapiga sana pesa but ukitegemea uajiriwe ndio uje uone faida ya programming utajuta coz ajira nying ni za wahindi tu.Haya huwa ni maneno ya kujifariji tu , hiyo pesa unapiga kutoka wapi ndugu yangu acheni kudanganya watu.
Hapana situmii freebasicsUnatumia Freebasics utaonaje Ads[emoji1787]
Kwa hiyo hata makampuni makubwa ya IT kama vile APPLE na MICROSOFT, hawa ndiyo aina ya watu yanaowahitaji?1.Graphics design
2.web development
Mtu mwenyewe kasoma maarifa ya jamiiAsikukatishe tamaa mkuu achana nae