Ndugu wapendwa kunamtu yeyote aliye fanya transfer online akapata nafasi? Maana hta sielewi kwasabau wotewalio bahatka kupata nafasi inasemekana walikwenda mojakwamoja mpaka ofisi za TCU
Mimi ni wa nacte pia nilishapata transfer wiki ya pili sasa. Hadi chuo nimekwenda wanasema bado jina halijaja kutoka tcu, so itakua nacte wanawapa tcu then tcu wanapeleka chuoni.