Mexence mello ana nguvu kubwa kuliko huyo samatta, huyo mange mwenyewe ni hatari hata huyo samatta hamkutii
Hamna mtamdao wenye nguvu ya ushawishi ,kama facebook,whatsapp,instagram,jamii forums
Jamii forums ni mtandao wenye ushawishi mkubwa sana katika jamii na serikalini, vigogo wengi wapo humu, na vitu vingi sana
Habari nyingi sana za kupekenyua madudu makubwa mbalimbali zilianzia hap jf na hatimaye kufanya wanachi tujue ukweli
Jf ni mtandao wenye nguvu na unaofuatiliwa na watu wengi sana hapa tz na waliopo nnje, ndio mtandao pekee watu wanamchana sizonje hadharani na ujumbe unamfikia
Jamii forum ndio mexcence mwenyewe sasa nashangaa eti mnawaweka hao akina