List ya wanamuziki ambapo hawakupikwa madrasa na wanasauti tamu

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
tumezoea wanamuziki wengi wenye sauti tamu na vocal ni wale ambao enzi za utoto wao walipitia madrasa ambapo kaswida iliwatengeneza mpaka leo hii wanasauti tamu.
Ila wapo ambao wenyewe mwenyezi mungu tu amewajalia sauti nyororo bila kupitia huko
1.Rich Makovo
2.Barnabas
3.Linex
4.Rayvanny
5.Jaydee
6.Marlaw
7.Walter Chilambo
8.Mez B (rip)
9.K Basil
10.Vanessa Mdee
 
Hebu wataje wasanii watano ambao hawaimbi qaswida wenye sauti tamu za kuvutia na walipita madrasa.
 
Hebu wataje wasanii watano ambao hawaimbi qaswida wenye sauti tamu za kuvutia na walipita madrasa.
1.alikiba
2.q-chief
3.TID
4.Matonya
5.MB dog
6.tunda man
 
Wengi uliowataja ni wakristo. Means haikuwa lazima wapite madrassa
 
Kwenye hiyo list umemsahau John
 
Kujua kuimba ni wewe mwenyewe na sauti yako sio lazima upitie mahali ndo maana waimbaji wako kila mahali duniani.
 
Sasa na wale waliopita choir za makanisani za watoto utawaweka kundi lipi sababu wale wanafundishwa mziki professional kuanzia vyombo mpaka vocal na studio kabisa wanaingia na video shooting juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…