Dah! Umeme umekatika tena.
yule ambae bado niyule aliyekomaa?
1. Wema sepetu
2. Linah
3. Dj fetty
4. Kiki
5.mwamvita makamba
6. Salama jabir
7.dina marios
8.c.e.o wa 8020 blog
9 c.e.o wa bang magazine
10.mboni masimba
Naruhusu kuchaguliwa mchumba na member wa jf iwapo member hawataridhishwa na list yangu vile vile kamaa kuna mtu umemridhia katika hii list waweza mtaja na kumpendekeza vile vile kama kuna member wa jf ungependa nimuoe waweza pendekeza ila asiwe FAIZA FOX TU LOL
Dah,hata mimi nimemuona mkuu..duh, hapa naona kuna mtetea anataka kutaga.