List ya wanawake warembo JF

Umekosea kusema Sky Eclat ni wa uswazii huyo yupo kwa malikia huko anatibu watuu ww endelea tu unadhani ni size yako..
 
Aliyekudanganya Sky Eclat ni wa uswazi amekupata haswaa.

Huyo ni daktari asiyekuwa na makuu

Halafu hakai uswazi,anakaa ushuani huyo ila anapenda kujimix tu na kila mtu.
Hata mm najua huyu Sky Eclat sio wa uswazi. Huwa namuelewa sema niliwahi kumuuliza km yy ni daktari akakataa.

Ila najua ni daktari.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…