mapinduzi daima
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,725
- 2,703
Mzumbe tu panawatosha watoto wenuThat's true Malkia wangu
Nitaendelea kukulinda na kukutunza
Watoto wetu wakue wakimjua Mwenyezi
Wasome hadi Havard na Stanford Universities
Wakirud TZ waongoze Benki Kuu
Chief Economist
ComradeMzumbe tu panawatosha watoto wenu
wewe ndio usiongee kwa sauti kwa sababu bado hujajua ulichoandikaCkunyingne usiongee kwa sauti watu wasije kuchua kwamba topic ya research hukuielewa
Nae ni mrembo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama joanah hayupooo basii hiyo research kaisimamia Jecha
NimekuonaMkuu umeingia juzi umeshajua wanawake warembo au mambo ya multiple id ila me unitoemo hapo sina urembo wowote jaman
Mbna Kasie amesahaulika? Rudieni utafit wenuBaada ya kupotea kidgo na kukuta kuna ka mtindo ka kutoa list sasa nmeamua kuja na list ya wanawake wenye mvuto humu ndani
Ambao kila mwanaume anatamani kuwa nao hawa wafuatao ni warembo haswa hii ni kutona na research niliyoifanya na pia wanashobokewa sana.
1.Girl next-door .ila ni jasusi
2.Shunie.
3.Dark angel.
4.Misstrace . kiportaple
5.Numbisa. Ila ni mchekeshaji kma ebitoke
6.Curious gal. No comment
7.Demi. Shape like vera sidika
8.Maserati..
9.Sky Eclat. Tatzo ni wauswazi
10.Faiza Fox. huyu ni mama yetu lakn ni mrembo
Hawa ndyo wenye mvuto na wanaopendwa zaidi humu
Woow asante mkuu kwa kutambua uwepo wanguusitusemee mioyo yetu wala usitujumuishe wote tuone kile uonacho weewe..
kwangu mimi ni huyu dada[HASHTAG]#khantwe[/HASHTAG]
Baba D me na urembo gani jaman ndio mana nimemwambia anitoe hapo kwenye listNimekuona