Mimi sio shabiki wa huyo jamaa ila ulichoandika ni udaku na wanga tupu, hamna connection yoyote ya yeye kuimba nao na wao kupotea. hebu nipe wimbo wowote alioimba A.Y ukawika kama Zigo remix au wa Chege ambao umefanya vizuri kama waache waowane. Sema tungo walizokuja kutoa hazina uzani kama ule ambao jamaa kasimama, Chid ndo usimuhusishe kabisa kupotea kwake na kufanya collabo na jamaa ngada ndo zimempoteza