Bwana yule hawezi kwenda mana kule wanaotakiwa kwenda ni binadamu tu
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji44][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siendi mbinguni mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Tusaidiane kuwataja watu ambao hawawezi kwenda mbinguni na sababu kwanini hawataenda mbinguni[emoji3][emoji3].
Mtaje hata kama huyo mtu yupo mtaani kwenu,kazini,kiongozi wako..nk
Mimi naanza na
1-uncle mshana jr...huyu hawezi kwenda mbinguni kwasababu ni mshirikina sana
2-kiranga... Huyu pia hawezi kuingia mbinguni hata akipewa offer ya kuingia mbinguni na akikuta mlango upo wazi,atamuuliza Mungu ninauhakika gani kama hapa ndio mbinguni atapigwa kwenzi moja atakufa tena..
Nimemtangulia kufika
Aisee mimi nitaomba niendelee kufa tu... akinionea huruma basi anipeleke kule kwenye mito yenye pombe na warembo 72.....
Aliyeanzisha concept ya Mungu ni mwanaume tu... manake amejua sana kujipendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
John sins haendi mbinguTusaidiane kuwataja watu ambao hawawezi kwenda mbinguni na sababu kwanini hawataenda mbinguni😀😀.
Mtaje hata kama huyo mtu yupo mtaani kwenu,kazini,kiongozi wako..nk
Mimi naanza na
1-uncle mshana jr...huyu hawezi kwenda mbinguni kwasababu ni mshirikina sana
2-kiranga... Huyu pia hawezi kuingia mbinguni hata akipewa offer ya kuingia mbinguni na akikuta mlango upo wazi,atamuuliza Mungu ninauhakika gani kama hapa ndio mbinguni atapigwa kwenzi moja atakufa tena..