Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Mzee Mwanakiji anataka kutuchanganya kwa kudai Kuhani aseme lini Mwalimu alitamka "ninang'atuka........" Hicho unachosema, ndicho anachokisema Kuhani!
Amandla.........
Mwanakijiji kumtaka, kumuomba, au kumdai Kuhani aseme lini Mwalimu alitamka maneno hayo si kutuchanganya bali ni katika juhudi za kutafuta ukweli tu. Sioni ubaya wowote hapo na mimi sijachanganywa na kitu hapo.
Labda wewe ndiye umechanganywa lakini kusema "kutuchanganya" ni kupotosha kwani hilo ni neno la uwingi unless na wewe uwataje watu wote walichanganywa na ombi la Mwanakijiji kama watu hao watakuwa wamekukubalia wewe uwe msemaje au mwakilishi wa mawazo au maoni yao.
- Kwa hiyo inaweza kusemekana hakuyasema pia, au?
FMES!
Tulichokiona ni kuwa haiwezekani kuwa Mwalimu aliyasema haya maneno mwaka 1992 kama anavyodai Malecela.
Kwa hiyo kama alidai hivyo alikosea. Inasemekana kuwa maneno haya yalitamkwa Agosti 1985 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee.
Amandla.........
Sijaona mahali ambapo Kuhani anasema maneno ya "mimi nang'atuka" yalitolewa lini?!
Huwezi kusema kuwa alikuwa amekosea kama huna uhakika yalisemwa lini. Haijalisi kama 'Inasemekana au haisemekani'. Maneno hayo yalisemwa at a certain point in time... ni lini? Majibu ya "nadhania, sijui, nafikiri, inadaiwa" hayakubaliki.
Huwezi kusema kuwa alikuwa amekosea kama huna uhakika yalisemwa lini. Haijalisi kama 'Inasemekana au haisemekani'. Maneno hayo yalisemwa at a certain point in time... ni lini? Majibu ya "nadhania, sijui, nafikiri, inadaiwa" hayakubaliki.
Kwa hiyo, Mwanakijiji, Nyerere angeweza kung'atuka 1985 na 1990 halafu akaja kusema "mimi nang'atuka" miaka saba baadae, miaka miwili baadae? Jamani, hizi obfuscation za mada ndio haya ya kombe la mbuzi sasa!
Mimi sijawahi hata kuingia kwenye ukumbi wa NEC kuona huo ukuta ambao Mzee Malecela anauona kiiiila mara. I mean, Mzee Malecela kaanza kuingia kwenye huo ukumbi toka enzi za gharika ya Nuhu. Anakuwa loose with facts, anawaambia "vijana" wa vyombo vya habari "ngoja niwaambie, Baba wa Taifa alisema mwaka 1992 nang'atuka lakini CCM..." Mzee please! Nyerere aling'atuka na kusema nang'atuka Agosti, 1990. Period.
Halafu akatoa hoja ya jinsi binadamu tunavyo tafsiri mambo tofauti akitumia mfano wa kisayansi kwamba "Malecela anaweza akavaa shati jeusi halafu mtu ambae ni color blind akaliona ni dark blue." Well, angekuwa sehemu zilizoendelea ki information angeandikiwa barua na viwanafunzi vya darasa la tatu vya physics kwamba mtu color blind maana yake ana matatizo ya kutofautisha na hata kuonga rangi. Shati jeusi katika physics maana yake halitoi miale ya rangi yeyote ile, kwa hiyo cones za retina ya jicho haziwezi ku respond kwa weusi, uwe mzima au uwe color blind, nyeusi ni nyeusi tu!
Lakini physics sio profession yake, japo kajiingiza. Profession yake ni siasa. Mbele ya national audience kwa nini anakuwa loose with facts kuhusu mlezi wake wa kisiasa? Malecela should know better.
sasa hili lilikuwa na ugumu gani!? Angalau mmeanza kufanya homework siyo mnabisha tu!
Kwenye hili, Mkuu. Mbishi ulikuwa wewe!
Amandla...........
Kwa hiyo tatizo ni mimi kutumia neno kutuchanganya? Mimi nilikuwa naamanisha anatuchanganya, mimi, mke wangu na wajukuu zangu, ambao wote ni membaz humu. Sasa kwa nini nisitumie wingi?
Au inakuuma kuwa upande mmoja na Kuhani?
Amandla........
Kwenye hili, Mkuu. Mbishi ulikuwa wewe!
Amandla...........
- Alishawahi kuyatamka tena mwaka 1982, pale kwenye bunge la zamani Karimjee Hall.
FMES!
Alishawahi kuyatamka tena mwaka 1982, pale kwenye bunge la zamani Karimjee Hall.
FMES!
FMES,
Hebu nisaidie hapo kama sijakuelewa vizuri.
Unasema Nyerere "alitamka tena mwaka 1982" Karimjee Hall kwamba anang'atuka?
Halafu akasubiri mpaka miaka nane baada ya kutoa ahadi? Miaka mitatu baadae?
Kwa hiyo, Mwanakijiji, Nyerere angeweza kung'atuka 1985 na 1990 halafu akaja kusema "mimi nang'atuka" miaka saba baadae, miaka miwili baadae? Jamani, hizi obfuscation za mada ndio haya ya kombe la mbuzi sasa!
Mimi sijawahi hata kuingia kwenye ukumbi wa NEC kuona huo ukuta ambao Mzee Malecela anauona kiiiila mara. I mean, Mzee Malecela kaanza kuingia kwenye huo ukumbi toka enzi za gharika ya Nuhu. Nyerere aling'atuka na kusema nang'atuka Agosti, 1990. Period.Anakuwa loose with facts, anawaambia "vijana" wa vyombo vya habari "ngoja niwaambie, Baba wa Taifa alisema mwaka 1992 nang'atuka lakini CCM..." Mzee please!
Halafu Malecela akatoa hoja ya jinsi binadamu tunavyo tafsiri mambo tofauti akitumia mfano wa kisayansi kwamba "Malecela anaweza akavaa shati jeusi halafu mtu ambae ni color blind akaliona ni dark blue." Well, angekuwa sehemu zilizoendelea ki information angeandikiwa barua na viwanafunzi vya darasa la tatu vya physics kwamba mtu color blind maana yake ana matatizo ya kutofautisha na hata kuonga rangi. Shati jeusi katika physics maana yake halitoi miale ya rangi yeyote ile, kwa hiyo cones za retina ya jicho haziwezi ku respond kwa weusi, uwe mzima au uwe color blind, nyeusi ni nyeusi tu!
Lakini physics sio profession yake, japo kajiingiza. Profession yake ni siasa. Mbele ya national audience kwa nini anakuwa loose with facts kuhusu mlezi wake wa kisiasa? Malecela should know better.
Mkuu tatizo la color blind ambalo ni genetic,asilimia kubwa ya waathirika majority ni wale wa Red/green color blindness ambayo ni common na inajulikana pia kama deuteranopia....Most of the time huwapata wanaume,hata hivyo back kwenye mfano wa Dk Malecela alipotumia mfano wa blue,tusisahahu pia kuna blue color blindness (protanopia) which is an inability to distinguish both blue and yellow, which are seen as white or gray,so nadhani labda angesema white or grey based on the protanomia condition,hata hivyo inaonyesha alizumgumzia tu kuhusu rangi bila kwenda kisayansi zaidi....Tuendelee kuelemishana.