Wacheni kuyakwepa matatizo ya wananchi kwa kucompare na nchi jirani kama yamepanda kenya ndo uhalalishe kupanda tz?JAMBO LA AJABU KULIKO YOTE NI KWAMBA NILIJARIBU KUNUNUA MAFUTA KENYA CHA AJABU NDOO MOJA IMEFIKIA 87500/- BAADA YA KUIBADILISHA FEDHA YAO NA KUWA YA KITANZANIA,SASA TATIZO SIJUI LIPO WAPI ?MAANA YAMEPANDA EAST AFRICA YOTE.
*BEI YA NYAMA NI 6500-7000 SASA WEWE SIJUI IPO COMORO AU WAPI MAANA COMORO BEI NI 10000-15000
Sijaona haja ya wewe kuanza kubweka, usilazimishe research uliyofanya ulipo tuende nayo, mikoa mingapi umetembea kujiridhisha...?Wewe ni mpuuz tena fisi maji unafikiri tunaongea kwa kubahatisha?
Sasa hii inatofauti gani na elf 10/L?Acha kupotosha nmenunua jana lita3 kwa 28,000 elfu yapo kwenye dumu mafuta ya alizet singida
Badala ya kulaumu nenda kapate tiba ya allergy yako, maana hapa ni kama unatukana wanaotumia mafuta ya Korie, kana kwamba sio watu.Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10
Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa
Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000
Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa
Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje
Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10
Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa
Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000
Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa
Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje
Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Uko wapi??We ni muongo Lita ya alizeti ni elfu 5 km unabisha njoo Pm uje na hela yako nikuletee mafuta acheni KUANDIKA habari za kusimuliwa
Umpigie kura usimpigie kura bado atatangazwa kuwa Rais tu, kura kuamua nani awe kiongozi mkuu wa nchi ni mpaka kuwe na "constitutional reform" ambayo pia alisema anajenga kwanza nchi...Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10
Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa
Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000
Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa
Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje
Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Halafu Alizeti yenyewe kwenye hayo mafuta bado ni 20% to 50%.... na kilichobaki ni KORIE...Singida Lita ya Alizeti elfu 4 , Mbeya Lita elfu 6000 , Dom elfu 5000, Mwanza elfu 6000.
Madukani sipajui kwa kawaida huwa nakula nyumbani kwako mkuu ndio maana sijui bei ya mafutaNimeongeza chumvi wapi?hivi wewe hata madukani unapajua kweli?