Lita ya mafuta ya kula imefika Tsh elfu 10. Rais Samia ajulishwe na aingilie kati

We ni muongo Lita ya alizeti ni elfu 5 km unabisha njoo Pm uje na hela yako nikuletee mafuta acheni KUANDIKA habari za kusimuliwa
Korie lita 18 ni shilingi 90,000 hiyo alizeti ya lita elfu 5 iko wapi.

Vile wamesema tunawapigia kelele tukomae tu.
 
Yeah serious problem, mafuta yanapanda Bei Kila kukicha yaan wapishi wakina mama wanatumia sana daah sasa hvi kutatokea na effect ya Bei ya vyakula vinavyo tumia mafuta haswa mtaani!!
Ni kipi ambacho hakijapanda bei ?
 
System ikimkubali inatosha , wengine mtaishia kubishana vijiweni tuu
 
Yani aache kupambana kubaki madarakani,aje apambane na shida zenu?
 
Ndo maana mi nimeamua kujitengenezea mafuta ya kupikia locally: nanunua mashudu ya alizeti,kisha nayachemsha,napata mafuta.

Simple like that.Tabu ya nini?
 
Ni kipi ambacho hakijapanda bei ?
Ambavyo havijapanda Bei ni mazao ya vyakula tuna mshukuru mungu sana unga wa sembe bei nzuri, mchele bei nzuri na pia now days watu wanatumia gas katika kupika so life is simple( ila unatakiwa ufanye kazi sio simple kihvo)

Kwa hapo tunashukuru serikali ya awamu ya sita!!
 
Sundrop 5 litre ni 37000 Dar sasa anasema litre ni 5000 yy ananunua wapi?
Mkuu hiyo 5litre kwa 37,000 ni maeneo gani hapa Dar. Manake kwingine tunanunua kwa 28,000, wastani wa 5,600 kwa lita.
 
Kaziendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…