Mtaalamu Wa Keki
Member
- Jun 17, 2024
- 5
- 2
Huo ndio urafiki sio kusifia tu kwenye media.
Hapo nyuma kulikua na kundi kubwa la wasani wa kiafrika kumsifia sana Didy kwamba ni mtu poa sana anasaidia na kuinua wasanii.
Kwasasa yupo kwenye matatizo wasanii wote mmepiga kimya.
Kama hamta tenda wema kwa mwenzenu naninyi mtaanguka tu.
Katika maisha lazima upitie misukosuko lakini hiyo haimanishi kwamba marafiki wakukimbie.
Hayo mengine aliyotuhumiwa nayo nadhani Mungu ndio mtoa hukumu wala sio watu.
Mungu amsaidie atoke huko gerezani.
Hapo nyuma kulikua na kundi kubwa la wasani wa kiafrika kumsifia sana Didy kwamba ni mtu poa sana anasaidia na kuinua wasanii.
Kwasasa yupo kwenye matatizo wasanii wote mmepiga kimya.
Kama hamta tenda wema kwa mwenzenu naninyi mtaanguka tu.
Katika maisha lazima upitie misukosuko lakini hiyo haimanishi kwamba marafiki wakukimbie.
Hayo mengine aliyotuhumiwa nayo nadhani Mungu ndio mtoa hukumu wala sio watu.
Mungu amsaidie atoke huko gerezani.