LITTLE GOAT NEYMAR JR

LITTLE GOAT NEYMAR JR

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
These injuries saved many football career
20250214_081515.jpg
20250214_081511.jpg
 
Neymar hakuwa anajitunza, na pia mpira anaocheza unamfanya agongwe gongwe sana, ilihitajika autunze sana mwili wake, starehe nyingi alipaswa kuweka kando.

Neymar ni mburudishaji bora sana, kumtizama ni burudani, japo kuna wakati burudani alikuwa anazidisha kiasi anaweza kuharibu move ya goli, kwakwe burudani kwanza kisha basic baadae, ronaldinho alikuwa anafanya badic yenye burudani.
Ila neymar ni gifted zaidi ana skills nyingi mnoo
 
Neymar hakuwa anajitunza, na pia mpira anaocheza unamfanya agongwe gongwe sana, ilihitajika autunze sana mwili wake, starehe nyingi alipaswa kuweka kando.

Neymar ni mburudishaji bora sana, kumtizama ni burudani, japo kuna wakati burudani alikuwa anazidisha kiasi anaweza kuharibu move ya goli, kwakwe burudani kwanza kisha basic baadae, ronaldinho alikuwa anafanya badic yenye burudani.
Ila neymar ni gifted zaidi ana skills nyingi mnoo
Well said
 
Neymar hakuwa anajitunza, na pia mpira anaocheza unamfanya agongwe gongwe sana, ilihitajika autunze sana mwili wake, starehe nyingi alipaswa kuweka kando.

Neymar ni mburudishaji bora sana, kumtizama ni burudani, japo kuna wakati burudani alikuwa anazidisha kiasi anaweza kuharibu move ya goli, kwakwe burudani kwanza kisha basic baadae, ronaldinho alikuwa anafanya badic yenye burudani.
Ila neymar ni gifted zaidi ana skills nyingi mnoo
Ronaldinho alikuwa balaa yule mwamba kwanza alikuwanaipenda kazi yake. Akiingia uwanja ucould see in his face and smile that this is wat he was born to do, entertain us with his mesmerizing skills and audacity to try wat many footballers do in training but are afraid to do it in matches
 
Ronaldinho alikuwa balaa yule mwamba kwanza alikuwanaipenda kazi yake. Akiingia uwanja ucould see in his face and smile that this is wat he was born to do, entertain us with his mesmerizing skills and audacity to try wat many footballers do in training but are afraid to do it in matches
Daima Ronaldinho ataonekana bora mbele ya neymar kwa mafanikio, haswa na jinsi alivyoibeba timu. Lakini kubwa kuliko ni hili la kwenye basic anafanya lakini anaongezea na burudani, mfano pasi inapaswa kupigwa sehemu fulani ambapo ndio best option zaidi anaweza akatoa hiyo pass with no look pass, ama rabona kisigino etc lakini tayari katimiza jambo la mpira.

Ukimfuatilia neymar utagundua ni fundi zaidi, mtundu sana na mpira ila yeye burudani aliizidisha, sehemu nyingine anafanya kitu hakihitajiki, anaweza kuforce kupiga mtu kanzu, sehemu isiyo na ulazima, anaweza mpiga mtu chenga na akamrudia badala ya kusonga mbele, haswa alipokuwa PSG ndio akazidi ujinga huu.

Neymar ana tabia za okocha, okocha nae alikuwa anajua ila entertainment alizidisha, anaforce makofi ya mashabiki wakati anaharibu.
 
Mpira unahitaji nidhamu sana, tena sana Ili ufike level za juu sana.
 
Back
Top Bottom