Yes Pascal Msindo ni mchezaji mzuri na ana ujasiri sana.Kwa dakika zile chache nilizomuona, ningekuwa scout nishampitisha.
Naona tshabalala kapata mshindani haswaa
Bajana ni TankYes Pascal Msindo ni mchezaji mzuri na ana ujasiri sana.
Mimi nilimuona kwenye mechi ya Simba na Azam ni kipaji kikubwa sana.
Nafikiri zamu hii Simba wakienda Azam wabebe Pascal Msindo, Tepsie Evance na Sospeter Bajana.
Yeah kapandishwa kikosini msimu uliopita tu.Alafu ni kijana mdgo sana
Akiweka nidhamu atakuwa nyota mkubwa mimi nilianza kumwona akicheza Ihefu kama sikosei ana skills na ball control ya hatari sana. Asilewe sifa walikuja kina Singano wakabatizwa majina ya Kina messi wa kaona wamemaliza na wakapotea mazimaUyu bwana mdogo toka amekuwa promoted first team ya Azam FC anaupiga sana tena nadhani mwaka huu yuko bora kuliko mwaka jana
Toka mechi ya Zesco dogo anaonekana anauhai sana uwanjani na anacheza soccer la kiwango cha juu mno.
Nachelea kiwango chake ni sawa na Peter Banda+ Nkane+ sakho+ Ambundo = Tepsie Evance
Dogo unakuja vizuri jana umekuwa nyota wa mchezo
Goal 1 na Assist moja hakika una kipaji naiona Tanzania mabegani mwako.
View attachment 2327081
Yes, bajana nimemuona game kadhaa, nakiri ni midfielder mzuri, anaweza kucheza na wachezaji wakubwa.Yes Pascal Msindo ni mchezaji mzuri na ana ujasiri sana.
Mimi nilimuona kwenye mechi ya Simba na Azam ni kipaji kikubwa sana.
Nafikiri zamu hii Simba wakienda Azam wabebe Pascal Msindo, Tepsie Evance na Sospeter Bajana.
Kwanini kabadili jina.. Umenifungua macho kitendawili changu cha muda, niliwahi kuona mchezaji anaitwa Brayson, ghafla nikawa simuoni, nikaja kumuona huyu banyana sasa naona wanafanana 😂, nikahisi labda nilichanganya madesa. 😂Zamani alikuwaa anaitwa Brayson Raphael
Ni uyo uyo mkuu strong man , wakati anaenda academy azam alitimia jina ya Bryason sasa alipokuja kuwa star ndo mwenye jina akaanza chokochoko ikabidi afuate taratibu kubadirisha jinaKwanini kabadili jina.. Umenifungua macho kitendawili changu cha muda, niliwahi kuona mchezaji anaitwa Brayson, ghafla nikawa simuoni, nikaja kumuona huyu banyana sasa naona wanafanana [emoji23], nikahisi labda nilichanganya madesa. [emoji23]
Bongo tunapiga saana fix😂Iddy nado ndo muongo ety ana 24[emoji3]
Sura yake inaonesha hajavuka 25Ana 23 nazani au 22 saivi