Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Bavaria au Bayern Munich kutoka ktk mji wa Munich nchini Ujerumani leo wanawakaribisha Barcelona ktk dimba la Alianz Arena ktk mechi ya marudiano hatua ya Nusu Fainali ya klabu bingwa barani Ulaya.
Barca akiwa na mtaji wa magoli matatu aliyoyapata maji ya jiooni ground kwake Nou Camp ni sawa na kusema kaweka booking ya Hotel ila hajakubaliwa na Demu...kwani Demu mwenyewe anajielewa na sio wa kushika mkono kama mademu wa EPL.
Barca inabidi wajipange la sivyo watabakwa leo.
bayern ktk uwanja wao walishambamiza mtu goli 7 kisha wakambandua mwingine goli 6, na hata Barca hapa mara ya mwisho kufika alinanihiwa goli 3 ktk mechi ya marudiano baada ya ile ya mwanzo iliomalizika kwa Barca kula goli 4·
Forza Milan...
Barca akiwa na mtaji wa magoli matatu aliyoyapata maji ya jiooni ground kwake Nou Camp ni sawa na kusema kaweka booking ya Hotel ila hajakubaliwa na Demu...kwani Demu mwenyewe anajielewa na sio wa kushika mkono kama mademu wa EPL.
Barca inabidi wajipange la sivyo watabakwa leo.
bayern ktk uwanja wao walishambamiza mtu goli 7 kisha wakambandua mwingine goli 6, na hata Barca hapa mara ya mwisho kufika alinanihiwa goli 3 ktk mechi ya marudiano baada ya ile ya mwanzo iliomalizika kwa Barca kula goli 4·
Forza Milan...