Kila heri Bayern Munich, nitafurahi sana mkiwafunga Barcelona maana kelele zimezidi.
Hii fainali haitapendeza,juventus akishinda barca watakuwa Kama wanamwangusha mlevi
mara ya mwisho kushiriki UEFA alimfungaga Barca pale Italy goli 2-0 akadhani amepita, alivyoenda Camp Nou akapigwa 4-0, na Messi akaweka wavuni bao mbili.
wanamuhifadhi kwaajili ya atletico.Hivi kwa nini Suarez ametoka
Barca na Juve final
Update please !
Hao ndo wanaingia final,utaniambiampira hautabiriki
mara ya mwisho kushiriki UEFA alimfungaga Barca pale Italy goli 2-0 akadhani amepita, alivyoenda Camp Nou akapigwa 4-0, na Messi akaweka wavuni bao mbili.
mimi ni Mshabiki wa ile klabu yenye makombe 18 ya kimataifa na 7 kati ya hayo ni ya ubingwa wa Ulaya.
pia ni msemaji wa klabu hiyo hapa Africa ya Mashariki, fahamu pia Klabu hio ndio imewahi kuwa na wachezaji nyota zaidi ktk historia ya Soka...
Barca na Juve final
Mechi ilishaisha toka camp kule,guardiola hana uwezo wakubadilika kimchezo,alivyocheza majuzi ndo atavyocheza leo na ndivyo atavyopigwa na counter attack kama kawaida...bayern ile ya moto ya msimu juzi siyo hii ya mpira wakucopy nakupaste...kuifunga timu inayofundishwa na guardiola ni rahisi kuliko kuifunga timu ya mchangani itayofundishwa na mourinho....hata bayern wangekuwa full mziki,kina ribery na roben ndan as long guardiola ni kocha kipigo kiko pale pale atapokutana na timu zenye makocha wenye plan zaid ya moja...
mmmmmh sio kweli,kwani utofauti wa kukosekana kwa ribery,robben na alaba umeonekana na kama wangekuwepo basi pangechimbika.
kwa maana bayern walikosa watu wakukimbiza mipira mbele so hao watu hatari sana amsha amsha yao...
ongeleni fc barce..