Licha ya haya yote, jamii yote imeoza! Je wewe umechukua hatua gani? Kama huitoi hapa barabarani, basi hospitali ili uwahi kutibiwa/ maiti ya jamaa yako iwekwe kwenye friji mwanayamala/tmk/amana!, au ardhi, au unahonga ili upate cheti feki/ feki itumike kama original kazini/ajira / shule/chuo! Au unahonga TRA wasikuchaji kodi kubwa inayostahili au isostahili, the difference mna-share na ofisa wa kodi pamoja na clearing agent! Kwa hali tu ya kawaida tu sasa hivi there is a bluntant moral decay in our society!