johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tamasha hili linafanyika ukumbi wa mikutano wa mwalimu Nyerere posta jijini Dsm na liko mubashara luningani Clouds.
Karibu!
Karibu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anawapenda wenzakeTamasha hili linafanyika ukumbi wa mikutano wa mwalimu Nyerere posta jijini Dsm na liko mubashara luningani Clouds.
Karibu!
Ameongozana na mama Mongela.....usijali!Mgeni rasmi ingependeza awe mwanamke mwenye sifa sifa za ki “Malkia wa Nguvu”. Sasa huyu vipi?
Yap!Hilo shindano huandaliwa na CMG?
Tamasha hili linafanyika ukumbi wa mikutano wa mwalimu Nyerere posta jijini Dsm na liko mubashara luningani Clouds.
Karibu!
Basi mwakani watakufikiria na wewe!Clouds kazi kujipendekeza tu, tamasha la wanawake linapendeza kuwa la wanawake, na wanawake wenye sifa ya kuwa wageni rasmi mbona wengi tu? Nina uhakika 100% Ruge angekuwepo hili lisingetokea.
Basi mwakani watakufikiria na wewe!
Inatuhusu nini???Tamasha hili linafanyika ukumbi wa mikutano wa mwalimu Nyerere posta jijini Dsm na liko mubashara luningani Clouds.
Karibu!
Hahahaa....... Umeshapanic!Naam nitashukuru, umwambie na mama yako ajiandae niongozane naye... Tukiwa couple itapendeza zaidi.
Uwepo wako tu hapa kwenye uzi huu umeshahusika!
Labda ana sifa hizo utajuajeMgeni rasmi ingependeza awe mwanamke mwenye sifa sifa za ki “Malkia wa Nguvu”. Sasa huyu vipi?
Hajapanic amekubaliana na wewe ila anataka aongozane na mama yako, usione wivu mkuuHahahaa....... Umeshapanic!
Hahahaa sawa na mimi nitaongozana na mama mkwepa kodi ........sawa mwanangu wa kambo na jinsi ulivyo na bichwa kubwa sipati picha!Hajapanic amekubaliana na wewe ila anataka aongozane mama yako, usione wivu mkuu
Sasa hapo inaonyesha umepanic maana mama yangu ni kibibi kizee utamuua tuHahahaa sawa na mimi nitaongozana na mama mkwepa kodi ........sawa mwanangu wa kambo!
Hahahaa....... Ng'ombe hazeeki " maini" we katoto!Sasa hapo inaonyesha umepanic maana mama yangu ni kibibi kizee utamuua tu