Nimewaza hivyo piaMgeni rasmi ingependeza awe mwanamke mwenye sifa sifa za ki “Malkia wa Nguvu”. Sasa huyu vipi?
Haya babu mpe raha mama yanguHahahaa....... Ng'ombe hazeeki " maini" we katoto!
Usijali dogo atafurahi na roho yake!Haya babu mpe raha mama yangu
Labda ni mwanamke ndo maanda kaalikwaMgeni rasmi ingependeza awe mwanamke mwenye sifa sifa za ki “Malkia wa Nguvu”. Sasa huyu vipi?
Una maana gani na yeye anakuwa mama?!Ameongozana na mama Mongela.....usijali!
Wamekosa mwananke mwenye nguvu na ambaye angekuwa mfano kwa wanawake wengine mpka wamchukue huyo? Au Jokate hajawawatonya kilichompata kwenye tamasha lake la kuondoa ZERO matokeo yake likakavurugwa na ZERO?Tamasha hili linafanyika ukumbi wa mikutano wa mwalimu Nyerere posta jijini Dsm na liko mubashara luningani Clouds.
Karibu!
Naona wameshtuka sasa. Sasa Mgeni rasmi ni Mama Mongella. Bashite ni mualikwa tu. Labda atapewa tuzo ya Balkia wa NguvuAmeongozana na mama Mongela.....usijali!
Tamasha la leo linaongozwa na wanaume......hata wanenaji karibia wote ni wanaume akina Erick Shigongo nk!Wamekosa mwananke mwenye nguvu na ambaye angekuwa mfano kwa wanawake wengine mpka wamchukue huyo? Au Jokate hajawawatonya kilichompata kwenye tamasha lake la kuondoa ZERO matokeo yake likakavurugwa na ZERO?
Hahahaa....... Clouds bhana wamebadilisha gia angani!Naona wameshtuka sasa. Sasa Mgeni rasmi ni Mama Mongella. Bashite ni mualikwa tu. Labda atapewa tuzo ya Balkia wa Nguvu
Naye ni malkia wa nguvuMgeni rasmi ingependeza awe mwanamke mwenye sifa sifa za ki “Malkia wa Nguvu”. Sasa huyu vipi?
Balkia[emoji1787]Naona wameshtuka sasa. Sasa Mgeni rasmi ni Mama Mongella. Bashite ni mualikwa tu. Labda atapewa tuzo ya Balkia wa Nguvu