Mkuu ulitaka afunge 10?
Utadhani umezaliwa jana usiku , ndio mara ya kwanza unaangalia mpiraHapana ndugu match ya leo ilikua nyepesi
Hnapokosa nafasi zaidi ya 5.
Then waenda kakutana na prison
Ambayo ni team yenye mpira wa nguvu na wakukaba na nafasi zinapatikana chache
Wadhani ataweza?
U serious wa mechi mkuu, Hawawezi kamia mechi ndogo kiasi hicho.....Hapana ndugu match ya leo ilikua nyepesi
Hnapokosa nafasi zaidi ya 5.
Then waenda kakutana na prison
Ambayo ni team yenye mpira wa nguvu na wakukaba na nafasi zinapatikana chache
Wadhani ataweza?
Utadhani umezaliwa jana usiku , ndio mara ya kwanza unaangalia mpira
Shida yako Nini boss?Mugalu match na jkt dodoma
Alipoteza nafasi za wazi zaid ya 3..
kama kufunga rahisi kafunge weweMugalu match na jkt dodoma
Alipoteza nafasi za wazi zaid ya 3..
Mbona hulalamikii goli la Simba (Kagere) dhidi ya Ihefu kukataliwa?Sina bifu na Simba ila mnavyobebwa na marefa mnajisikiaje?Kama jana na Mlandege yule Mpemba wenu kashika ila refa Sassi kapeta niliwaonea huruma sana Mlandege kila wakati wanamkumbusha refa kawanyima penalty...sio poa mpira ni burudani..kama goli la Ihefu Omari Mponda...kuwafunga Simba kazi ni kama ushindane na CCM kwenye uchaguzi..full figisu..
Huwezi ukacheza na timu yako afu ukatangaza media mkuu, hata wao wanajua sema tu Baraka mpenja amewaibia ronja, afu kocha kafanya la maana maana kwa njia hiyo inafanya wa timu b waanze kuonekanaWalicheza na kikosi b ila Simba upande wa media kuanzia website yao ni wazembe wanashindwa kupost habari za Simba mpaka tunasikia kwa watu back
Kama mna website, Twitter, Instagram account zinafanya kazi ganiHuwezi ukacheza na timu yako afu ukatangaza media mkuu, hata wao wanajua sema tu Baraka mpenja amewaibia ronja, afu kocha kafanya la maana maana kwa njia hiyo inafanya wa timu b waanze kuonekana
Kama mna website, Twitter, Instagram account zinafanya kaz
Tembelea mitandao ya timu kubwa duniani uangalie nini wanapostHuwezi ukacheza na timu yako afu ukatangaza media mkuu, hata wao wanajua sema tu Baraka mpenja amewaibia ronja, afu kocha kafanya la maana maana kwa njia hiyo inafanya wa timu b waanze kuonekana