Live from Germany: UDSM yang'aa

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Tuko hapa Halle (wanafunzi wa Shahada ya Uzamili wa UDSM) Ujerumani katika Tamasha la Wasomi mbalimbali.Katika Tamasha hili,Wahadhiri na wanafunzi kutoka UDSM wamefanya 'presentations' katika mada mbalimbali. Kwasasa Dr.Tulia Ackson wa UDSM anawasilisha mada kuhusu 'Jinsia na Sheria za Kazi Tanzania'. UDSM iko juu;wazungu hapa wanatingisha vichwa kukubalina na hoja.Wanaona umahiri wa watoka-UDSM. I feel proud to be part of UDSM Alumni and students.
 
hongereni sana kwa kuwakilisha UDSM Ujerumani ni sifa kwa nchi yetu ila waambieni hao wazungu kuwa sasa hivi thamani ya elimu ya UDSM imeshuka kutokana na wanasiasa uchwara wanaoua elimu yetu.

IAM PROUD TOO TO BE UDSM ALUMNI.
 
Kumbe wewe ni part of it,obvious utasifia tu. Tuwekee picha na videos tuone.
 
majirani zetu wachovu wasiopenda maendeleo yetu wwatanuna sana mwaka huu, UDSM chuo bora cha nne afrika baada ya vyuo vitatu vy south afrika, wapi nairobi, makere university? vimebakia majina tu
 
Wambie tz kuna division five,na daraja E lolikuwa F. Tunaendelea vizuri..wanafunzi wetu wakishindwa tena..tutahadili namna bora ya kueafurahisha wazaz...
 
nimecheka kwa kweli, mtanzania akiwa ulaya kuisaka majivuno. nimechekeshwa pia na huyu aliejibu kuwa awaambie wajerumani tumeamua kuwafurahisha wazazi. namim nasema ni nchi ya kisanii kama marekani. niliona raia flani weusi wamarekani masikini kupindukia, weusiii kama mkaa! na mimi nawaambia majitu nyie mnaojikomba ujerumani hembu waambieni waganda, warandwa na majangili wanatutenga na sisi tumegoma kutoka east africa
 
teh teh
BRN

you call mocking to good Lads representing our state out there BRN with laughters, pity! I didn't expect much from a guy bearing killers as his proud username!
 
Mkakati wa BRN

uDSM wamepelekwa Germany, ili tuwe kama Havard?!!! Hongera JK, hureeeeeeyyyyyyyy!!!!!!
 
majirani zetu wachovu wasiopenda maendeleo yetu wwatanuna sana mwaka huu, udsm chuo bora cha nne afrika baada ya vyuo vitatu vy south afrika, wapi nairobi, makere university? Vimebakia majina tu

tunahitaji kuona lank yake kwa ubora wa elimu cyo web popularity.
 

Dr.Ackson namkubali sana mdada msomi,anasifa za kuwa waziri wa katiba na sheria pia ana upeo mkubwa sana ktk sheria,na ni hazina ya taifa pia amekuwa ni mc ktk matamasha mbalimbali makubwa hasa ya viongozi wa nje wanakuja udsm,i hope one day she'll become a dean of school of law na hongereni sana wanaUDSM huko GERMANY.
 
Vipi manyang'au hayakutokea?
au wale jamaa wembambaaaa wanaotumia laptonga mpaka chekechea, eeeeh ninamaana kwa PK.
 
Mkakati wa BRN

uDSM wamepelekwa Germany, ili tuwe kama Havard?!!! Hongera JK, hureeeeeeyyyyyyyy!!!!!!

muwe kama havard?????? did i read it clearly??.
huko kunj havard nyngne au ile ile ya kina mark -zukerberg,bill gates?????
pole sana........kufananisha havard na chuo kama udsm....alikwambia waliofel wanasomaga havard nan???????? kuna watu smart pale havard we we.......
 
Bora kwa majengo na wakufunzi ila product ni mayai ya bata!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…