Bora kwa majengo na wakufunzi ila product ni mayai ya bata!!!!
muwe kama havard?????? did i read it clearly??.
huko kunj havard nyngne au ile ile ya kina mark -zukerberg,bill gates?????
pole sana........kufananisha havard na chuo kama udsm....alikwambia waliofel wanasomaga havard nan???????? kuna watu smart pale havard we we.......
Ni Shahada ya pili.Au huitwa Shahada ya UmahiriSorr shahada ya uzamili ndo shahada gani hii?
Tuko hapa Halle (wanafunzi wa Shahada ya Uzamili wa UDSM) Ujerumani katika Tamasha la Wasomi mbalimbali.Katika Tamasha hili,Wahadhiri na wanafunzi kutoka UDSM wamefanya 'presentations' katika mada mbalimbali. Kwasasa Dr.Tulia Ackson wa UDSM anawasilisha mada kuhusu 'Jinsia na Sheria za Kazi Tanzania'. UDSM iko juu;wazungu hapa wanatingisha vichwa kukubalina na hoja.Wanaona umahiri wa watoka-UDSM. I feel proud to be part of UDSM Alumni and students.
Kwa neno moja nasema PUMBAVUUUUUU........
Wazungu wanatingisha vichwa kutoka magharibi kwenda mashariki wewe unashangilia?????
Pumbaaaaaaaaavuuuuuu