Live From Kebby's Hotel in JF Dar-Wing, WHITE PARTY!!!!!

Hivi unajua nilishindwa kuelezea furaha yangu kukuona na kukutana nawe...huggin you ilikua pengine ndio njia pekee iliyokua muafaka kwangu kuonesha furaha hiyo...
who was the other person mpendwa???

Mbona unaniwahi kuuliza?
Habari yako mwaJ...
 
Last edited by a moderator:
Hivi unajua nilishindwa kuelezea furaha yangu kukuona na kukutana nawe...huggin you ilikua pengine ndio njia pekee iliyokua muafaka kwangu kuonesha furaha hiyo...
who was the other person mpendwa???

Likewise! Nilifurahi sana pia. Ila cha ajabu picha nilokuwa najipa mtandaoni ikawa tofauti kabisa (sitaki maswali)! Japo majina bandia yana raha yake, kufahamiana physically ni kuzuri pia.

The other person is JF member too! Mbona nilitaja jina lake, au hukulisikia?
 
Hahaha...usijali fake ID's na avatars haibadilishi uhalisia wa vile tulivyo...umekwepa swali langu ila kwa heshima yako mpendwa nami napotezea tu hahah

Likewise! Nilifurahi sana pia. Ila cha ajabu picha nilokuwa najipa mtandaoni ikawa tofauti kabisa (sitaki maswali)! Japo majina bandia yana raha yake, kufahamiana physically ni kuzuri pia.
 
Hahaha...usijali fake ID's na avatars haibadilishu uhalisia wa vile tulivyo...umekwepa swali langu ila kwa heshima yako mpendwa nami napotezea tu hahah

Nilijisahau best, ila nimeedit post nikajibu swali.
 
The other person is JF member too! Mbona nilitaja jina lake, au hukulisikia?

Sikulisikia ndugu yangu na ndio mtu pekee mpaka wakati huu sijatambua ni nani, waweza rudia jinale kwa heshima yangu???
 
Acha na sisi tufurahie party vicariously bana. Hapa nilipo nimetupia suruali ya YSL, shati la Valentino, loafers za Gucci.....na fedora ya Versace....kila kitu white....from head to toe.

Mkuu nyani uko peku? Au loafers ndo viatu
 
Nilikaa meza ulomwagikiwa kinywaji na meza alokuwa amekaa Vin Diesel

Acha kunidanganya.
Meza ile waliokaa wote nawajua.
Hakuna member aliyejitambulisha kwa ID yako.
Juu ulikuwa umevaaje au chini?
Ukinambia hvo tu ntakujua.
 
Sikulisikia ndugu yangu na ndio mtu pekee mpaka wakati huu sijatambua ni nani, waweza rudia jinale kwa heshima yangu???

Hebu subiri kidogo, kuna mgeni anabisha hodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…