Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
hahahah . . . ila kuna watu sijui wanakuwaga na fikra gani aisee!teh teh...anatishia kutoa mashuzi wakati ana uharo' first degree!!! yaan ule ambao ukiona tu neno TOILET hali inakua tete...
hahahah . . . ila kuna watu sijui wanakuwaga na fikra gani aisee!
Hapo akizaa mtoto kilaza atalaumu????kuna watu wapo serious hadi jamvini...usanii waufanyao mtaani wanauleta hadi huku teh teh teh!!!
Its need someone crazy clarify this.......... Madame B+ Thanda i just passing here
I left with figganigga and my Thando came to pick coz I was already tired ever since I was at JNIA.
Pliz figganigga send your apology to Madam B. Figganigga left me at morocco. Thando confirm please.
Copy : Mtambuzi, KakaKiiza, amu, Bujibuji, gfsonwin, Maxence Melo, @lara1 aka Igweeeeeeeeeeeeeeee.
Nipo huyu nivea asikuzingue
Nakumbuka sana hiiHaya ndio yanayojiri.
Mambo huku ni bads number! Ninomaaaaaaaaaa! Kina mtambuzi mmetshaaaaa! Lara 1 ndani ya nyumba,si ya kuhadithiwa! Mashauz yamepata wa kujishaua!
Mambo ndo yameanza huku n mambo makubwaaaaa! DONT MISS!
Ruttashobolwa, Jiwe Linaloishi, Jesca, Mtambuzi, lara 1 Paloma, KakaKiiza na wengineo............
Nakumbuka sana hii
umefukua file ambalo la zamani best duuuu aiseeeNakumbuka sana hii
... beggars would rideOnly if wishes were horses.,
Hahahaha hawashindwiNimeacha mods wasije kunipa van buree
Kuna uzi niliufukua wameufunga watu wasireply comments zangu wakafutaHahahaha hawashindwi