Si ndio hapo...wamekosa show yetu patna...
Hahaha salamu zimefika lol...
Daaaah hatari sana!
my cousin nawe umekwenda huko white party na uko nani? charminglady
Daaaah hatari sana!
Hujambo mdogo wangu?
Nirushie basi japo PENASOL kwa bluethooth.
Jamboo wewe?, kama nakuona..........
Hahahaaa patna bana . . . . . Watu wanatamani muongee kiskype ili wakuone.Si ndio hapo...wamekosa show yetu patna...
sijambo...yaani hapa full uhondo!!
Hujambo mdogo wangu?
Nirushie basi japo PENASOL kwa bluethooth.
sijambo...yaani hapa full uhondo!!
Hii Kebby hotel iko wapi?, naweza kuja saa hizi na kulipia kiingilio?.
Muangalieni mzee wa mabebs Le mutuz bingwa wa kupiga picha na mabebs asije piga picha na bebs wangu preta!
Si ulisema utaniwakilisha.......?
Usiogope......hakuna camera hata moja dear.......