Live From Kebby's Hotel in JF Dar-Wing, WHITE PARTY!!!!!

Wewe nilikuchukulia chumba ghorofa ya 4, lakini nimelipa single, ukienda na mtu utalipishwa dola 50 extra..........

sithubutu kwenda na mtu Mtambuzi .Nimepata taarifa za kiinteligensia kwamba Filipo kafunga CCTV kwenye room......
 
Last edited by a moderator:
party ndo imeisha. hapa nipo na watu8, Jiwe Linaloishi tunaondoka makwetu. thank you jf. nmeshindwa kureport sababu ya mitungi ndo maana nikaanzisha thread ikaishia katikati. samahani lakini. nmefurahi kukutana na amu, marejesho, @ jeska na mtu ya watu @rara 1. mia
 
Last edited by a moderator:

Haya kijana. Mi leo nakesha ndan ya Shytown
 
Last edited by a moderator:
Mpwa pamoja sana siku moja event kama hii itakuwa viwanja vya Tilapia kama sio JB Belmont

I hope usalama ulikuwepo. Nami nimeungana nanyi kula bata japo nipo huku Kanda ya Ziwa.. All is Well
 

Mkuu figganigga, hakikisha usalama kwa hao wadada wa JF............
Nitachukua ripoti asubuhi kijana wangu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…