Mpwa pamoja sana siku moja event kama hii itakuwa viwanja vya Tilapia kama sio JB Belmont
Haya kijana. Mi leo nakesha ndan ya Shytown
party ndo imeisha. hapa nipo na watu8, Jiwe Linaloishi tunaondoka makwetu. thank you jf. nmeshindwa kureport sababu ya mitungi ndo maana nikaanzisha thread ikaishia katikati. samahani lakini. nmefurahi kukutana na amu, marejesho, @ jeska na mtu ya watu @rara 1. mia
Hahaha...hizi meza naona zinataka kuharibu sherehe! imebaki kidogo tu togwa kuingiwa na nzi.
hyo ni mupya kwangu.
hamia Dar kwa muda...
Pa1 sana Mpwa. Karibu sana Mwanza.. I hope leo mme enjoy.
Mweeeee.......halafu watu8 akishakunywa grants ana fujo sana.......
Japo nipo mbali na nyie kimwili......kiroho tupo pamoja kabisa.....
Cheeeeeersssss.......
Nikishakunywa hiyo makitu ya Grants, basi kichwani huwa nahisi kama sauti ya manyau hivi, Ili kuituliza inabidi kuongeza na DOMPO.
Mbona mapema sana jamani. SAA 7?
Leo ni mpaka kunakucha
Bujibuji is in the house, Zion Daughter in the house, Babu mjanja Asprin kalonga la mbolea, shangwe zinaendelea.
Only if wishes were horses.,