mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Uzi tayari?Karibuni wazalendo tumnyooshe Tunisia nyumban kwake
sambusa haina nyamaKaribuni wazalendo tumnyooshe Tunisia nyumban kwake
sambusa haina nyama
Uzi utaongezeka kadri muda unavyoenda ila saiv tunaweza kwanza kupredict squadKumfunga Tunisia tusahau na siwezi kujipa pressure.. Walinipeleka wenywe nje ya nchi mpaka sasa natumia network ya Tunisia..
ok, ila taifa stars wanafungwa magoli yasiopungua matatu.Uzi utaongezeka kadri muda unavyoenda ila saiv tunaweza kwanza kupredict squad
Haaaaa, gemu tunapata hata draw ngoja tuone kikosiok, ila taifa stars wanafungwa magoli yasiopungua matatu.
haya ni maoni yangu wala nisiwe mnafiki
AhahahaKumfunga Tunisia tusahau na siwezi kujipa pressure.. Walinipeleka wenywe nje ya nchi mpaka sasa natumia network ya Tunisia..
hicho kikosi chako siyo kibaya kivilee, ni heri tukaingia kwa kujilinda kuliko kufungukaHaaaaa, gemu tunapata hata draw ngoja tuone kikosi
Kama kitakua
Manula
kapombe
Tshabalala
Mwamnyeto
Nyoni
Mao
Mkude
Sureboy
Nchimbi/Nado
Bocco
Msuva
Labda kama CAF wataruhusu NEC na Geshi la polisi wawe sehemu ya waamuzi vinginevyo kamwe sisi hatuwezi shinda jambo lolote lenye mazingira ya haki na usawa tumeshazoe utapeli na ulaghai kwa kila jambo lenye ushindani.Leo tusipokula 3-0 basi Mungu Mkubwa...Karibuni wazalendo tumnyooshe Tunisia nyumban kwake
Mechi ni ya kufuzu Afcon ikiwa ni mechi ya 3,Tanzania alishinda mechi zake 1 na kupoteza 1
Tunisia yeye alishinda mechi zote mbili
Labda tujitahidi tu kupunguza idadi ya magoliKumfunga Tunisia tusahau na siwezi kujipa pressure.. Walinipeleka wenywe nje ya nchi mpaka sasa natumia network ya Tunisia..
Mbona mzee unaingiza mambo ya itikadi ya mpiraKwanza tujue. Kikosi cha leo wachezaji wa simba wako wangapi? Kama ni wengi mechi hii tunafungwa kama iliyopita na burundi. Ova.