Live interview with Mrembo on muosha rungu show

Hebu sema na wewe mdogo wangu, halafu akija hapa anazuga
Dada huyo hadi nauli alimtumia husna.
Akaniambia jirani harusi inanukia naoa bosslady.
Nikamuuliza bosslady hana nauli??
Akaniambia hata kama anayo mwanaume kazi yake kutoa hela.
Hali ilivyochafuka kama ni mfuatiliaji mzuri alikaa siku 3 hajaingia huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jirani mimi naijielewa hapa ni chit chat
Hakuna ukweli wowote, wala uhalisie.
Ni vijineno vya hapa na pale..kuondoa stress nk.
Mzima wewe!
S wako mzima?
Aaaaaaaaah jirani ndege amepeperuka kabla hajakufikia.
Huyo Erik itabidi umuoe hivyo hivyo hawezi kukupotezea muda wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha
Utaniuaa ujue.... Halafu alikuwa anasema hajawahi ombwa nauli!!!!! Kagame pole mnoo, bora ungenitumia ninywe supu ya kongoro..... Daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…