stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,884
- 4,479
Yah hili jina nilikuwa najiita tangu niko sekondari! Nlikua mtu wa misimamo ni kweli linasadifu yaliyomo!Kwa nini ulijiita stable woman?? uko stable kama jina linavyosadifu??
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Najiona mbali nikiwa mfanyabiashara mkubwa na mfugaji ninayetegemewa!Unajiona wapi ndani ya miaka mitano ijayo
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Mungu ndio nguvu yangu! Ndio uimara wanguWhat are your strength, weaknesses...
hobbies
interest
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Na hutokuja kubadilisha au vipi eee?? yaani unabakia windows & android basi au sio...Napenda window na android boss! Nliwahi kutumia Lumia620 kipindi zinaingia
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa uonavyo elimu inatolewa vya kutosha?? Sheria ya makosa ya mtandao ipo lakini bado watu wanapost vitu vya ajabu ajabu vya uchochezi na visivyo vya maadili lakini hawakamatwi wengine...nini kifanyike??Ndio waTanzania wanahitaji elimu ya mtandao!
Walio wengi bado hawajui kama mitandao ina faida kubwa! Hasa kubwa ni kupata news mapema! Kuuweka ulimwengu karibu n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Unavyosema hodari ina maana kuna kitu cha kijasiri au tofauti umefanya ,, ni kipi hicho??
Misimamo katika nyanja zipi, tudokeze japo mbiliYah hili jina nilikuwa najiita tangu niko sekondari! Nlikua mtu wa misimamo ni kweli linasadifu yaliyomo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana, je ni changamoto zipi unazopitia katika biashara na ufugaji?? unawapa hamasa ipi vijana kuhusu kujiajiri?Najiona mbali nikiwa mfanyabiashara mkubwa na mfugaji ninayetegemewa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Mungu ni muweza wa yote...Mungu ndio nguvu yangu! Ndio uimara wangu
Mimi bwana ni mbena, tuna hasira kama za mkwawa huo ndio udhaifu wangu sipendi kuonewa[emoji3]
Hobbies napenda kuogelea japo sahz nimeacha nimeahamia humu Jf! Napendelea kuwa kwenye mikusanyiko ya Dini pia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna nikitaka nitabadilishaNa hutokuja kubadilisha au vipi eee?? yaani unabakia windows & android basi au sio...
Sent from my iDevice using Tapatalk
Hapo sawa ukumbuke kujibu na haya[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Jambo lipi unajutia na hutolisahau maishani mwako??
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Unaaamini katika falsafa ya 50 kwa 50???
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Ukiwa kama mwanamke wa kitanzania unaonaje nafasi ya wanawake wenzio katika utoaji wa maoni katika ngazi mbalimbali za Maaamuzi
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Hahaa swali zuri! Nashukuru Mungu tunajuana sana yeye akikosea huwa mkweli anakiri namm pia! Japokua ikitokea nimeudhika huwa namwambia alipokosea! No one is perfectNi kweli Mungu ni muweza wa yote...
Unatumia mbinu gani kudhibiti mihemko ya hasira kwa Mumeo, je mmoja wenu huwa anajishusha chini kukubali yaishe au ndio kikiwaka ni wote hamuelewani kwa maana umesema hupendi kuonewa?!
Sent from my iDevice using Tapatalk
Changamoto ya sasa biashara upande wangu imekua ngumu wateja wanalalamika usawa mgumu! Hivyo kaduka kangu kanguo nimeshakafunga maana watu sahv hawavai nguo mpya wanarudia za zamaniHongera sana, je ni changamoto zipi unazopitia katika biashara na ufugaji?? unawapa hamasa ipi vijana kuhusu kujiajiri?
Sent from my iDevice using Tapatalk
Mazingira niliyopo mimi wanawake bado hawajaamka sana! Asilimia kubwa ya wajasiliamali wanawake ukimuuliza unakuta ni mtu tokea mkoa! Wazawa ni watu wa nyumbani tuUnavyosema hodari ina maana kuna kitu cha kijasiri au tofauti umefanya ,, ni kipi hicho??
Sent from my iDevice using Tapatalk
Elimu bado haitolewi vya kutosha! Ila kidogokidogo tutafika! Waelimishaji waendelee kuelimisha jamii itafika mahali tutaelewa na kuiheshimu mitandao ya kijamii!kwa uonavyo elimu inatolewa vya kutosha?? Sheria ya makosa ya mtandao ipo lakini bado watu wanapost vitu vya ajabu ajabu vya uchochezi na visivyo vya maadili lakini hawakamatwi wengine...nini kifanyike??
Sent from my iDevice using Tapatalk
Hongera sana kwa kutambua hilo kuwa hamna aliye mkamilifuHahaa swali zuri! Nashukuru Mungu tunajuana sana yeye akikosea huwa mkweli anakiri namm pia! Japokua ikitokea nimeudhika huwa namwambia alipokosea! No one is perfect
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli sijawahi kujuta! Ila sitasahau siku napewa taarifa ya msiba wa baba yangu!Jambo lipi unajutia na hutolisahau maishani mwako??
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
NaaminiUnaaamini katika falsafa ya 50 kwa 50???
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Nzuri nzuri hapa sawa...Pole sana kwa changamoto za biashara yako..Pambana utafanikiwaChangamoto ya sasa biashara upande wangu imekua ngumu wateja wanalalamika usawa mgumu! Hivyo kaduka kangu kanguo nimeshakafunga maana watu sahv hawavai nguo mpya wanarudia za zamani
Lakini mimi nashauri vijana wenzangu wajiajiri maana kila kitu kina faida na hasara! Kuna wakati faida inakuwa kubwa kuna wakati unapata hasara! Ndivyo ilivyo all in all kujiajiri ni jambo jema!
Sent using Jamii Forums mobile app