Live: Kombe la FA Tanzania-Kutoka Kaitaba, Kagera vs Mbao FC

Ta Muganyizi

R I P
Joined
Oct 19, 2010
Posts
5,355
Reaction score
2,736
Leo utachezwa mtanange wa Kombe la FA kwa hapa bongo ambapo Kagera Sugar watakwaana na Mbao FC. Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Bukoba mjini kupitia KASIBANTE FM RADIO - Home

Watangazaji ni Abdul Razak Majid 0767 650 076 - tuwemo
Mwingine ni Tafawa Said - 0754 321084
 
Mpaka sasa Kagera kashakalia Kimoja Goal limefungwa kipindi cha kwanza kwa shuti kali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…