Leo utachezwa mtanange wa Kombe la FA kwa hapa bongo ambapo Kagera Sugar watakwaana na Mbao FC. Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Bukoba mjini kupitia KASIBANTE FM RADIO - Home
Watangazaji ni Abdul Razak Majid 0767 650 076 - tuwemo
Mwingine ni Tafawa Said - 0754 321084