Baada ya kukoti ulitakiwa useme usahihi ilitakiwa iwe vipi.wacha mbwembwe huna tofauti na hao.Aiseeeee kuna broken english zinatandikwa huko mbaka kichwa kinaniuma.
"..... because there is no women teachers to teach girls...." Magret Sitta
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa wamempa muda ajitathmini.Nimechungulia chungulia sijamuona mkuu. Nahisi bado anatype hiyo barua inayosubiriwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeeee kuna broken english zinatandikwa huko mbaka kichwa kinaniuma.
"..... because there is no women teachers to teach girls...." Magret Sitta
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee Peter Mavunde Baba yake na Antony Mavunde Naibu waziriHuyu MC mmmmmmm!
Naomba nimfahamu jina kwa anayemfahamu.
Mzee Peter Mavunde Baba yake na Antony Mavunde Naibu waziriHuyu MC mmmmmmm!
Naomba nimfahamu jina kwa anayemfahamu.
Naona kila tukio anapewa shavuMzee Peter Mavunde Baba yake na Antony Mavunde Naibu waziri