LIVE LIGI KUU UNDER 20: AZAM 0 VS MTIBWA SUGAR 2

LIVE LIGI KUU UNDER 20: AZAM 0 VS MTIBWA SUGAR 2

Kommando muuza madafu

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2022
Posts
3,216
Reaction score
7,254
Hili ni bonge la Game. Kama tutaendelea kuwekeza kwenye vijana, hakika hatuta ng'ang'ania magarasa akina sawadogo.

Mtibwa wana timu nzuri sana. Kuna fowadi zaidi ya Baleke au Mayele anaitwa Makambo Jr. Hadi sasa dakika ya 16 Mtibwa anaongoza 2 bila ote yakifungwa na Makambo Jr.

Azam kuna middle moja hivi, middle ya kisasa inanikumbusha enzi zangu nikiwa nacheza Pale Morogoro. Dogo anatoa pasi huku anaukimbilia akiutaka tena.
 
ingekuwa vizuri kama timu zote zilizoshiriki zinge play each other ili tupate kuona ubora kamili wa wachezaji..

bingwa awe ni yule aliyekusanya alama nyingi zaidi kuliko wenzie!
 
ingekuwa vizuri kama timu zote zilizoshiriki zinge play each other ili tupate kuona ubora kamili wa wachezaji..

bingwa awe ni yule aliyekusanya alama nyingi zaidi kuliko wenzie!
Inshu ni muda na uchumi.
 
Mm Huwa najiuliza Mtibwa Sugar siku zote Academy Yao huwa yamoto sana, wanafeli wapi mbona timu ya Wakubwa ni mdebwedo?
 
Upo sawa kabisa unapokuwa na mtazamo wako inakubidi uujengee hoja ili washirika wako wakupe sapoti. Je nikweli yupo vizuri kuliko mayele au baleke hapo naona kama kuna porojo maana wengi hatuwaoni huku juv.
 
Back
Top Bottom