collezione
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 352
- 178
Chama cha siasa kitakachohubiri na kuchochea fujo na vurugu kwa lengo la kufanya Tz isitawalike kifutwe mara moja.
Chama cha siasa kitakachohubiri na kuchochea fujo na vurugu kwa lengo la kufanya Tz isitawalike kifutwe mara moja.
Mgombea Urais lazime athibitike kuwa ni muadilifu kuanzia kwenye ndoa yake, familia yake hadi kazini kwake.
Mtu asiyeweza kuongoza familia yake hawezi kuongoza taifa.
Wagombea ubunge wasiwe na rekodi zozote za kihalifu.
Asiwe mtu aliyewahi kuhukumiwa kwa kosa lolote la jinai.
Mzee wa vijisenti 2nae kwenye hili.
Maoni tutakayotoa yatawekwa wapi????????jamani kutoka na kuwa muda wa kukusanywa maoni ni mdogo, na waTZ wengine wako nje ya nchi, nimeweka thread hii itumike kutoa maoni huru ya katiba mpya.
nawakaribisha kwa michango yenu