pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Acha kujiabisha bure, hizo dhahabu na hela zilinaswa zikisafirishwa na mtanzania mwenzenu kwa jina Patrick Ayisi Ngoi. Alizipitisha kutoka Mwanza kwa ushirikiano na mafisadi kutoka kwa vitengo vyenu vya usalama. Wazee wa ndemi na mathathi hawakukosea waliposema kwamba kikulacho ki nguoni mwako.Wakenya walikuwa wanasema tz tunaichukia Kenya bila sababu sababu ilikuwa ni hii serikali ya Kenya na mafisadi wa kimataifa waliokuwa wamejificha Kenya huku wakishilikiana na serikali ya Kenya kuujumu tz ,Ila kwaili inaonyesha Kenya imeanza kuonyesha njia njema
Sio Mwanza bali NBC MoshiPia kulikua na hela takriban $80,000 zilizoibiwa kutoka kwa benki ya NBC mwanza na mshukiwa wa uizi wa hizo hela alikimbilia Kenya ambako ndo alishikwa na baada ya uchunguzi pesa hizo zikapatikana , Mshukiwa inasemekana ako kotini Mwanza.... Ukiregesha hio video nyuma inaweza kuangalia hotuba yote .....
[emoji23]not that extents[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magu kiboko kudadadeki..
Itakuwa hapa Uhuru kapigwa lile beat LA kimataifa..
"NOT TO THAT EXTENTS.!" rudisha hayo madini ndani ya saa24 vinginevyo nakuibukia!!
*Hongera kwa Uhuru...maana Moses Wetangula asingeyaacha
Acheni ushabik wa kimaandazi. Magufuli alishukuru vitengo vya usalama vya Kenya kwa kunasa dhahabu hiyo kabla haijafika Dubai(zilikuwa zinasafirishwa kuenda Dubai). Alihoji pia kuhusu utepetevu wa vitengo vya usalama vya Tz. Akiuliza ilikuwaje dhahabu zikasafarishwa kote huko hadi zikafika Mwanza na hatimaye Nairobi. Mbaya zaidi ni kwamba aliyeiba dhahabu hiyo ni mtanzania. Jina lake Patrick Ayisi Ngoi.Magu kiboko kudadadeki..
Itakuwa hapa Uhuru kapigwa lile beat LA kimataifa..
"NOT TO THAT EXTENTS.!" rudisha hayo madini ndani ya saa24 vinginevyo nakuibukia!!
*Hongera kwa Uhuru...maana Moses Wetangula asingeyaacha
mkendelea hivyo, kukataa kuwa hot bed ya primitive capitalists (who obtain wealth by plundering and robbery) tutakuwa ndugu. Mtashangaa tumefungua boda zetu nanyi muingie na tikiti ya basi tu.
Acheni ushabik wa kimaandazi. Magufuli alishukuru vitengo vya usalama vya Kenya kwa kunasa hizo dhahabu kabla hazijafika Dubai(zilikuwa zinasafirishwa kuenda huko). Alihoji pia kuhusu utepetevu wa vitengo vyenu vya usalama. Akiuliza ilikuwaje dhahabu zikasafarishwa kote huko hadi zikafika Mwanza na hatimaye Nairobi. Mbaya zaidi ni kwamba aliyeiba dhahabu hiyo ni mtanzania. Jina lake Patrick Ayisi Ngoi.
Tutaelewana tu. Big up Magufuli
Mtuhumiwa wa wizi huo alirejeshwa Tanzania mapema mwaka huu na maafisa kutoka ofisi ya DPP. Kabla ya mpango wowote wa rais Uhuru Kenyatta kuzuru Chato. Dhahabu yenyewe ni evidence.Bila ya uthubutu wa Rais Magufuli haya tungeyasikia kwenye Movies
Acha kuwa kigeugeu kama Jaguar. [emoji1]Mimi sifanyi ushabiki. Naongea uhalisia. wewe unafikiri kitendo cha mtu kukukamatia mwizi wako (hasa hasa anayekuibia demu wako
Ila naye anapenda public stunt sana. Apunguze kidogo. Ila kazi anafanya, mpaka Rotich jasho linamtoka
Unajua walikuwa wanapeleka Kwa nani kwanini mlishikilia had I magu kanyooshea kidole Kenya ndiyo mnayaleta tzAcha kujiabisha bure, hizo dhahabu na hela zilinaswa zikisafirishwa na mtanzania mwenzenu kwa jina Patrick Ayisi Ngoi. Alizipitisha kutoka Mwanza kwa ushirikiano na mafisadi kutoka kwa vitengo vyenu vya usalama. Wazee wa ndemi na mathathi hawakukosea waliposema kwamba kikulacho ki nguo mwako.
Acha kuwa kigeugeu kama Jaguar. [emoji1]
Kwani leo umekula nini hadi ukapongeza Kenya?Heko hongereni hapa mmekuwa wema!
Hii ni juhudi ya Noordin Haji pekee huyu Magu hana uwezo wowote nchini Kenya bwana.Bila ya uthubutu wa Rais Magufuli haya tungeyasikia kwenye Movies
1.7 Million USD ni pesa ndogo kwako???
Nonsense...alipeleka jeshi Kenya kuikomboa hiyo dhahabu?Bila ya uthubutu wa Rais Magufuli haya tungeyasikia kwenye Movies
Sidhani ni publicity stunt. Anaangaziwa sana kwa sababu ya kazi nzuri anayofanya na ujasiri wake pia. Kama ni publicity, angekuwa ametangaza wiki iliyopita kwamba anarudisha dhahabu.