Duh!! imekuwaje iwe sare? shida yetu tunahitaji magoli ya zali siyo yale ya move na ufundi wa kufungu. Kazi ipo, ila tusikate tamaa, huenda tukawafunga Cameroon na wengine wote.
No strikers in our team....kwa aliye bahatika kucheki ile game can prove me rights..we were like Ze Gunaz Possesion kibao magoli hamna......tutafika kweli kwa hali hii?...Maxio watch out plz..!!